meidimu sirkon
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 202
- 37
Re: Ulimi
Ulimi ukiwa mwepesi ndivyo mtu anapoweza kuongea au kutamka maneno yenye kujenga au kubomoa kulingana na uchaji wa fikra ya mtu mwenyewe kwa hiyo ulimi ni mtumishi tu.
Ulimi ukiwa mwepesi ndivyo mtu anapoweza kuongea au kutamka maneno yenye kujenga au kubomoa kulingana na uchaji wa fikra ya mtu mwenyewe kwa hiyo ulimi ni mtumishi tu.