Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Bora wapelekwe the Hague kuliko kuja kupatwa na yale laiyomkuta Ghadaffi na wanae. Wakina kova wajanja wameshajivua kwamba hawahusiki. CCM imekwisha
UNHCR ndo sh r ka mama la utetez wa hak za k b nadam ambalo l meanz shwa under UN
nini tofauti kati ya TGTS D na TGTS E interms of payment?? wengine hatujawahi kuwa waalim na hatuvijui hivi msaada wako please??Sijui serikali ya kikwete inafikiria nini juu ya madai ya waalimu.Serikali imeendelea kuwapuuza Walimu,mfano;Mwalimu aliyemaliza shahada ya ualimu wa Physics na Mathematics anaanza na mshahara wa TGTS D,lakini mtu aliyemaliza uhandisi (Engineering),akakosa kazi ya uhandisi,akaomba ajishikize kwenye ualimu,afundishe Physics au Mathematics,yeye huanzia daraja la juu yaani TGTS E.Kwanini serikali inawadharau sana walimu? Mishahara yao midogo,madaraja hayapandi kwa wakati,madai yao yanacheleweshwa mno na mengine hayaripwi kabisa. Mwanzo ilionekana kama migomo ya walimu sio tishio,sasa walimu wameerevuka,wamegundua kuwa kumbe wanayo silaha,nao ni wanafunzi.Wakati ule waliandamana wanafunzi walio DSM tu.Wanafunzi wote walio katika shule za walalahoi-shule za serikali wanafundishwa na walimu kuwa,ukitokea mgomo wa walimu,wanafunzi waandamane na waihujumu miundombinu yote ya CCM.Wakati umefika kwa serikali kurudisha usawa katika vipato kwa waajiriwa wake wote,wakiendelea na dharau kwa waalimu,wajiandae kushuhudia maandamano makubwa ya wanafunzi kuanzia chekechea mpaka form six,maandamano yatakayoambatana na vurugu.Kwa uzembe wa polisi,waziri na IGP watafikishwa kwenye mahakama za kimataifa.ACHENI KUWABAGUA WAAJILIWA WA SERIKALI!
Mkumbushe mleta uzi kuwa asisahau kuwakumbusha hao anaowaita UNHCR wanapotetea mauaji,wasisahau na polisi wanaouawa kinyama na raia kama kweli wanatetea uhai!
nini tofauti kati ya TGTS D na TGTS E interms of payment?? wengine hatujawahi kuwa waalim na hatuvijui hivi msaada wako please??
Msaada jamani:Hivi shirika la kutetea haki za binaadam duniani ni UNHCR au Amnesty international
Tofauti ya TGS inategemea muda wa masomo wa kozi husika baada kumaliza high school. Wanaochukua kozi kwa miaka mitatu huanza TGS D. Mfano waalimu, wahasibu au wachumi. Wanaochukua miaka minne na zaidi huanzia TGS E. Mfano wahandisi, madaktari au wanasheria.
Wale waliomwomba BWANA aliwaambia: NYAMAZENI KIMYA. MIMI NITAWAPIGANIA. Kwa muda mrefu, wanyonge wa nchi hii wamekuwa wakimlilia BWANA awaokoe na mateso, kuonewa, kunyanyaswa na walio madarakani. BWANA amesikia kilio chao. Ole wao wale wote wanaotenda maovu, wakiwa ni viongozi wanaoongoza watu wa BWANA. Watatamani ardhi ipasuke ili iwameze. Lakini, ardhi itakaa hivyo vivyo. Mioyo yao itakuwa inalia kwa uchungu. BWANA atatenda. Hasira za BWANA zitawawakia. Watalala kwenye vitanda vyao vya dhahabu, na kula vinono walivyopora kutoka kwa wanyoge. Lakini, hawatapata usingizi kwa vile BWANA atawaadhibu kwa matendo yao maovu wanayowatendea watu wasio na sauti
Kamanda, Marekani haipo hivyo. Naweza kukuthibitishia swala la Richmond halijulikani kabisa kwenye serikali ya Marekani. Richmond walikuwa wa huni tu. Na kama hii ngoma imefika kwenye senetor. Ngoja utaona MOTO.
Sio kweli,wapo walimu waliomaliza chuo kikuu miaka ya 2000,walisoma miaka 4 wakaanza na TGS D,Wahandisi wa St Joseph husoma miaka 3,huanza na TGS E.Wanasheria husoma miaka 3 chuo kikuu cha Tumaini,huanza na TGS G,Madaktari husoma miaka 6 Muhimbili,huanza na TGS F,Kilimo-Utafiti husoma miaka 3 Sokoine,huanza na TGTS H.Kumbuka,kutoka ngazi moja ya mshahara kwenda nyingine unahitajika kuwepo kazini zaidi ya miaka 4.Kama si ubaguzi,kwanini Mhandisi apitwe na mwanasheria? CCM itakuja adhibiwa kwa ubaguzi wake.Subirini mgomo wa walimu unaofuata,wanafunzi wao wataiadhibu serikali kwa ubaguzi wake.Afadhali umempa jibu huyu Sangu Mnene. Tofauti ya mishahara ya kuanzia Serikalini (TZ) kwa wale wenye degree inategemea masomo ya chuo kikuu yalikuwa ya miaka mingapi. Siyo suala la kudhararu mtu wala taaluma.