Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Hahahaha....we mjukuu mtiifu hatari sana hii;

Hii UMECHEZA VIZURI KAMA FLANI............haina uhusiano wowote na ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?............. Sijui naeleweka yailah toba?

Babu hapana kuuliza ulikuwa wapi siku zote haimaanishi kuwa alikuwa anavijua so alikuwa anakusubiria tu siku moja umfanyie bana......... pengine anamaanisha mbona hujjawahinipa raha kama hizi au mbona ulikuwa wadhulumu jamani.........sasa ukisema umecheza vizuri kama Asprin hapo waitafuta kesi na timu ufukuzwe!
 
Babu kwa hiyo usipocheua ina maana hujashiba? kuna sababu nyingi ambazo zawezazuia wewe kutocheua bana na ambazo hazisababishwi na chakula ulichopikiwa. Mfano kama umezoe mpishi wako ndo aanze kushiba na kucheua ilihali ye kaamua leo mie staki kushiba chakula hiki ni spesheli kwa mpenzi wangu.hadi nimwone ameridhika.. weza usicheue kwa kuwa waona mpishio hacheui. mwisho washiba na kuridhika na mkono washuka au wasubiria tena njaa iume upewe tena lol. Au haiwezekani?

babu ndio maana pia kuna zawadi za wachezaji bora hata kama timu yake haijashinda bwana!! mbona sie enzi zile za Umishumta tulikuwa tunachaguliwa kuingia timu ya taifa pamoja na kuwa sometimes hamshindi?? Mi nadhan kutocheua haimaanishi mtu hajashiba. Mwe leo
Hiyo red, labda nikuulize mjukuu mtiifu wa babu: Huyo mlaji atajisikiaje kula huku aliyempikia tumbo lakoroma kwa njaa?.... Navyojua mie, chakula kinapokuwa kitamu, hutapenda kukila peke yako. Sasa utakula na mwingine nani tena ilhali aliyekupikia ndo kakunawisha mikono?.... shurti mshirikiane mkile wote, hata kama yeye atakula kwa kuzuga, kwakuwa anataka wewe ukifaidi, mwisho wa siku lazima mlaji atashiba na atacheua. Afu si ndo lengo la mpikaji kuwa mlaji ale ashibe? Akicheus si ndo raha zaidi kuwa chakula kimefika pahala pake?

Hiyo blue...we nawe nlifikiri ushakuwa bana...khaa....michezo ya umishumta tena ndo unataka kuileta ligi kuu?.... Ligi kuu mchezaji bora hutoka kwenye timu iliyotwaa ubingwa au iliyofanya vizuri. Timu imeshuka daraja, uchezaji bora utaupatia wapi?...........bado nasisitiza....Kucheua ni ishara ya ridhiko la kushiba.

Swali la kizushi: Mlaji mwenye njaa asipokula na kushiba atacheua nini?.......... Hivi hii thread tumebakia wawili tu?
 
Babu hapana kuuliza ulikuwa wapi siku zote haimaanishi kuwa alikuwa anavijua so alikuwa anakusubiria tu siku moja umfanyie bana......... pengine anamaanisha mbona hujjawahinipa raha kama hizi au mbona ulikuwa wadhulumu jamani.........sasa ukisema umecheza vizuri kama Asprin hapo waitafuta kesi na timu ufukuzwe!
Hilo sawa, ila je kwa mfano alichopewa ni haramu kama alivyosema maty (kwa mfano matumizi ya ule mtandao wa Fidel na Masa)........Ulikuwa wapi siku zote haiwezi kuwa kauli ya utata?...........ngoja nianze kuingia kwenye pointi sasa, naona nimezunguka sana LOL
 
Hiyo red, labda nikuulize mjukuu mtiifu wa babu: Huyo mlaji atajisikiaje kula huku aliyempikia tumbo lakoroma kwa njaa?.... Navyojua mie, chakula kinapokuwa kitamu, hutapenda kukila peke yako. Sasa utakula na mwingine nani tena ilhali aliyekupikia ndo kakunawisha mikono?.... shurti mshirikiane mkile wote, hata kama yeye atakula kwa kuzuga, kwakuwa anataka wewe ukifaidi, mwisho wa siku lazima mlaji atashiba na atacheua. Afu si ndo lengo la mpikaji kuwa mlaji ale ashibe? Akicheus si ndo raha zaidi kuwa chakula kimefika pahala pake?

Hiyo blue...we nawe nlifikiri ushakuwa bana...khaa....michezo ya umishumta tena ndo unataka kuileta ligi kuu?.... Ligi kuu mchezaji bora hutoka kwenye timu iliyotwaa ubingwa au iliyofanya vizuri. Timu imeshuka daraja, uchezaji bora utaupatia wapi?...........bado nasisitiza....Kucheua ni ishara ya ridhiko la kushiba.

Swali la kizushi: Mlaji mwenye njaa asipokula na kushiba atacheua nini?.......... Hivi hii thread tumebakia wawili tu?

Haya Babu naomba nikubali nimeshindwa mie. Lakini kuna wakati mwingine mlaji kwa ule utamu wa chakula hujikuta anakula tu tena akilamba mikono na atapokujashtuka kuwa mpishi haonyeshi dalili ya shibe na kucheua basi naye awezaomba maji anawe akiwa kashiba lakini kabla hajacheua......hamu ya kula yakatika but si kwamba tumbole liko tupu.

haya mie Umishmta na Umiseta eh?!!

Babu mlaji mwenye njaa asipokula akashiba awezacheua hewa, eh
Umesahau kuwa hata maji yana Oksijeni babu? H2O
 
Hilo sawa, ila je kwa mfano alichopewa ni haramu kama alivyosema maty (kwa mfano matumizi ya ule mtandao wa Fidel na Masa)........Ulikuwa wapi siku zote haiwezi kuwa kauli ya utata?...........ngoja nianze kuingia kwenye pointi sasa, naona nimezunguka sana LOL

...........hahahahahah hilo sasa jengine ah. Kwa hilo mwaya stahiki yake ni .........umejifunzia wapi au nani kakufundisha!! tena hii yaja hata kabla ya aksante (kama akifanikiwa lakini)
 
...........hahahahahah hilo sasa jengine ah. Kwa hilo mwaya stahiki yake ni .........umejifunzia wapi au nani kakufundisha!! tena hii yaja hata kabla ya aksante (kama akifanikiwa lakini)
Hahahahaha........ sasa mwenzio ndo alikuwa anapanga mkakati wa namna ya kuyafanya hayo, alipofika kajifanya kauzu, amelewa chakari kiasi cha kupotea njia...... akashangaa chubwii...afu mwisho wa safari akaambulia ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE......khaa!

Hahahahah......... heheheheh.... hahahaha.... ngoja nicheke kiduchu

Ulikuwa wapi siku zote.... we wajiona waenda anzisha kumbe mwenzio mwalimu......afu anakushangaa ulikuwa wapi? hata kuzuga kashindwa?
 
Hahahahaha........ sasa mwenzio ndo alikuwa anapanga mkakati wa namna ya kuyafanya hayo, alipofika kajifanya kauzu, amelewa chakari kiasi cha kupotea njia...... akashangaa chubwii...afu mwisho wa safari akaambulia ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE......khaa!

Hahahahah......... heheheheh.... hahahaha.... ngoja nicheke kiduchu

Ulikuwa wapi siku zote.... we wajiona waenda anzisha kumbe mwenzio mwalimu......afu anakushangaa ulikuwa wapi? hata kuzuga kashindwa?


Hahahaaaa.....hebu fanza huruma za hizi mbavu.....
 
Hahahahaha........ sasa mwenzio ndo alikuwa anapanga mkakati wa namna ya kuyafanya hayo, alipofika kajifanya kauzu, amelewa chakari kiasi cha kupotea njia...... akashangaa chubwii...afu mwisho wa safari akaambulia ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE......khaa!

Hahahahah......... heheheheh.... hahahaha.... ngoja nicheke kiduchu

Ulikuwa wapi siku zote.... we wajiona waenda anzisha kumbe mwenzio mwalimu......afu anakushangaa ulikuwa wapi? hata kuzuga kashindwa?



hii ipo sana kitaani babu,
waweza fikiri wewe ni bingwa /mshehereshaji siku zote,
kumbe mwenzako anakuchora tu, na kukunanga kisiri,
anajua yeye hiyo raha huwa anaipatia wapi...lol.....
 
Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa heheeeeeeeeeeeeeeee uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Mie mwenzenu sijawahi ona Babu mmbeya kama huyu khaaaaaa????!!!!!!!!

Ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa heheeeeeeeeeeeeeeeeeee mbavu zangu mie bana khaa???
 
Hahahaaaa.....hebu fanza huruma za hizo mbavu.....
Orayt..........ukiulizwa ulikuwa wapi siku zote...nibipu nikupe jibu lake.

hii ipo sana kitaani babu,
waweza fikiri wewe ni bingwa /mshehereshaji siku zote,
kumbe mwenzako anakuchora tu, na kukunanga kisiri,
anajua yeye hiyo raha huwa anaipatia wapi...lol.....
Aiseee............Inauma sana aiseeeee! Inakera sana aiseeee!...kwanini asikuambie mapema kuwa anataka?

Mnh... Hii topik imezua balaa.
Ati kula na kucheua..
Mapenzi kama njaa ee?
Hahahaha....tatizo ile picha.... wamekimbia wote....kina dada wanaogopa njaa aisee!

Alikuwa anaona aibu kutongoza
Hivi mabaamedi wanatongozwa au wanaulizwa lini utakuwa off?
 
Hivi mabaamedi wanatongozwa au wanaulizwa lini utakuwa off?

hivi babu, ile style ya kuwalipia mabaamedi per diem zao kwa meneja,ili ubebe
hata kama wapo kwa kazi si bado ipo?
 
haya bana....!

hajambo deuc na kimambo?

kivaluu yupo?

asenga mzima?

wasalimie sana......

.............Ya kale yamepita; tazama yamekuwa mapya........................
 
Hahahahaha........ sasa mwenzio ndo alikuwa anapanga mkakati wa namna ya kuyafanya hayo, alipofika kajifanya kauzu, amelewa chakari kiasi cha kupotea njia...... akashangaa chubwii...afu mwisho wa safari akaambulia ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE......khaa!

Hahahahah......... heheheheh.... hahahaha.... ngoja nicheke kiduchu

Ulikuwa wapi siku zote.... we wajiona waenda anzisha kumbe mwenzio mwalimu......afu anakushangaa ulikuwa wapi? hata kuzuga kashindwa?

Kweli Babu mbea loh.....nimecheka hadi nimepaliwa !!
Lakini Babu sema kweli we waionaje hii? kuna kosa alipouliza hivi?

Hahhah eti- chubwi!!

halafu suppose yeye kaka ndo angeombwa......... akosee njia...... angeichukuliaje? hahah mi ctaki
 
hivi babu, ile style ya kuwalipia mabaamedi per diem zao kwa meneja,ili ubebe
hata kama wapo kwa kazi si bado ipo?
Hahahaha...unamkabidhi Mwanandio sitting allowance ya buku mbili, unaondoka na "kivaluu" Hawa.

haya bana....!

hajambo deuc na kimambo?

kivaluu yupo?

asenga mzima?

wasalimie sana......

.............Ya kale yamepita; tazama yamekuwa mapya........................
Hahahaha...Teamo TIAI!....karibu Kerege, karibu mahindi ya kuchoma, karibu kisamvu, karibu kunde....tarehe 26 iko ukingoni usisahau.
 
Kweli Babu mbea loh.....nimecheka hadi nimepaliwa !!
Lakini Babu sema kweli we waionaje hii? kuna kosa alipouliza hivi?

Hahhah eti- chubwi!!

halafu suppose yeye kaka ndo angeombwa......... akosee njia...... angeichukuliaje? hahah mi ctaki

Hahahahaha..... na yeye angemuuliza ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE....lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom