Ulikuwa wapi siku zote mpaka tukachakachua thread yako?...........Kamwe RR hawezi ruhusu mtu mwingine anichape kwenye ma------!!!!!!!!!!!!!
Mhhhh ngoja nimwombe ruhusa RR akikubali nakuja fastaaaa!!!!!!!!!!!!!
Mwalimu haya makitu ya intaprenyuaship hayahitaji sana kufuata silabas ujue.
Uwiii, mwanafunzi mtukutu sana huyo.
Ananidanganya eti hapajui na wala hajawahi kufika huko
Mzima lakini Ticha?
Uwiii, mwanafunzi mtukutu sana huyo.
Ananidanganya eti hapajui na wala hajawahi kufika huko
Mzima lakini Ticha?
Wewe ulishawahi fika huko chini?
ahahhahahahhahaha shuleni huwa kuna curriculum hiz..... mbili!
major na extra curriculum
saaasa hii extra bana akiifnza huko siku anayorudi darasani kumbrainwash tena iakuwa kazi ujue!
ahhhahahah walmu wa twisheni ni direct kweny pepa soving
oh!
Chini ya nini mpenzi.....au ngoja kwanza....chini ya chini.....
Mapenzi na shule, mlenda na chai.
Usije ukasema sikukuonya.
Kuleeeee chini........
Najaribu kuchungulia ila mgauni wako umezidi unoko....
Hii thread ikihamishiwa jukwaa la chini, wewe na mhuni mwenzio mtakuwa na kesi ya kujibu walah. Khaa!!!