Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Hii thread ikihamishiwa jukwaa la chini, wewe na mhuni mwenzio mtakuwa na kesi ya kujibu walah. Khaa!!!

ahahhahahahhahhah RR AKIIPATA HIYO PASSWORD NDO HII SREDI ITAHAMISHIWA HUKO RASMI!
EHEHEHHEHEHEH GO BOY GOOOOOOOOOOOOO! nemic4u kunja goti kidogo bana hujui mwenzio mrefu kutoka nyuma kwenda mbele!ahahahahahahha
 
Last edited by a moderator:
ahahhahahahhahhah RR AKIIPATA HIYO PASSWORD NDO HII SREDI ITAHAMISHIWA HUKO RASMI!
EHEHEHHEHEHEH GO BOY GOOOOOOOOOOOOO! nemic4u kunja goti kidogo bana hujui mwenzio mrefu kutoka nyuma kwenda mbele!ahahahahahahha

hakyamama nimeamini siku hizi ualimu ni ajira.. sio wito tena.
 
Last edited by a moderator:
Dah mbona hasira hivyo...........ni hiyo zipu tu au kuna kingine nyuma ya pazia!!!!!!!!!

btw hata ikihamishiwa huko chini hakuna shida .....mie na mpnz wangu tuko na password tutaifuata tu!!!!!

Manake baada ya zipu huchelewi kumpa na pasiwedi ya naniliu. Invizibo alivo na wivu haka kayuziful sredi atakafutilia mbali walah.
 
hakyamama nimeamini siku hizi ualimu ni ajira.. sio wito tena.

ahaahhahahha kaa kushoto!
watu wanataka direct entry ya jukwaa pendwa alah!
kwanza siku hz tunafundisha from priya noleji to new wani!
sasa mwanaunz kam antaka kunyesha vipaji vyake vya asili kuna ubaya?
eti Ennie hebu nitetee collegue!
 
Last edited by a moderator:
Password ninayo ujue....nangoja muda tu nizame paaap!!!! Chini kwa chini....
ahahhahahahhahhah RR AKIIPATA HIYO PASSWORD NDO HII SREDI ITAHAMISHIWA HUKO RASMI!
EHEHEHHEHEHEH GO BOY GOOOOOOOOOOOOO! nemic4u kunja goti kidogo bana hujui mwenzio mrefu kutoka nyuma kwenda mbele!ahahahahahahha

Hiki kithredi kikifungwa kwa gharama ya nemi4u sio mbaya....inalipa...:hail:
Manake baada ya zipu huchelewi kumpa na pasiwedi ya naniliu. Invizibo alivo na wivu haka kayuziful sredi atakafutilia mbali walah.
 
Last edited by a moderator:
ahaahhahahha kaa kushoto!
watu wanataka direct entry ya jukwaa pendwa alah!
kwanza siku hz tunafundisha from priya noleji to new wani!
sasa mwanaunz kam antaka kunyesha vipaji vyake vya asili kuna ubaya?
eti Ennie hebu nitetee collegue!

Umemwita na huyo tena. Hii sio fairplay, ngoja nisepe.
 
Last edited by a moderator:
muhimu kufurahia ubunifu mengine utajiletea presha bure............... unatoa asante ya nguvu....... unamwambia kesho uje na style nyingine :bange: mambo mapya kila siku na staili mpya

Hapo umenena mambo ya kuchunguza bata mwishowe majanga, ubunifu unaimarisha mahusiano siyo kila siku yaleyale tu.
 
Ishu ni mwanafunzi kugrajweti BA wakati wewe unafundisha BCom...

Labda alikuwa akitoka darasani kwako....anaingia evining class ya BA......ajira zimekuwa za tabu sana siku hizi......

ni vzr kuwa na different proffesional skills......ili kuweza kumudu soko la ajira!!!!!!!!
 
magoti yananiuma bana ....ngoja niiname kabisa!!!!!!!!!

enheeeeee
sas li magoti nayo yasiume hebu shika mikono yako yote miwili kweny magoti hapo
eneheee hao hapo!usiiiname sana utaumia mgongo bana! RR KAZI NI KWAKO!
 
Last edited by a moderator:
Labda alikuwa akitoka darasani kwako....anaingia evining class ya BA......ajira zimekuwa za tabu sana siku hizi......

ni vzr kuwa na different proffesional skills......ili kuweza kumudu soko la ajira!!!!!!!!

Afadhali umwambie mapema kabisa, siku akikukuta nakufundisha sayansi kimu asishtuke. Ajira ngumu.
 
enheeeeee
sas li magoti nayo yasiume hebu shika mikono yako yote miwili kweny magoti hapo
eneheee hao hapo!usiiiname sana utaumia mgongo bana! RR KAZI NI KWAKO!

hilo zoezi lako gumu bana..........to make it easy....nitachuchumaa then RR atakuwa kwa chini akitafuta password ya kuinglia kwenye lile jukwaa!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
hilo zoezi lako gumu bana..........to make it easy....nitachuchumaa then RR atakuwa kwa chini akitafuta password ya kuinglia kwenye lile jukwaa!!!!!!!!

Au kwa kifupi Popo kanyea mbingu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom