klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Poor me nilisahau kuwa kiswahili cha Haya ni YES kwa kiinglish!!
MTM, FT na Klorokwini natamka rasmi........Oh my gosh, oh my gosh, oh my gosh........yehs, yes, yes.......yes Mbu I will marry you if my Babu gives us a permission.
ni New release hiyo. special dedikeshen kwa MJ1 na Mbuhahahaaaaaa, hii sijawahi kuisikia
duh!!
..........Bahati yako umeniwahi.was about to ask hujaniona unapropose hahahah umejihami. ................Nimekupenda Bure loh!!
Inawezekana sana tu.
Hakuna kitu mbaya maishani kama kujiwekea limit...
Kila kitu unajibu "sikuambiwa, sikufundishwa," ...akili ni mwamvuli, utapoufungua ndipo utapokukinga mvua!
Ubunifu unaanazia kwa mtu mwenyewe, kisha vionjo vinapatikana kwenye vitabu, semina, sinema, etc...
Kuna mtu nilimwambia kuna juice ya parachichi, embe mbichi na tangawizi...acha aruke kimanga!
Bila kujaribu ataendelea kubisha hainyweki...Chumbani ndivyo hivyo hivyo...
Mke/Mume anayeweka vizingizio eti hakufundwa hivyo, matokeo yake routine zinabakia hizo hizo.
ni New release hiyo. special dedikeshen kwa MJ1 na Mbu
mh kama hujawa wa kwanza kunitosa Babu akiamka........ukintosa nanulify the acceptance!!Mambo si haya bana! heheh Acha niwasiliane na wanakamati wa pilau, mkuu Mbu anza kutafuta suti, usije ukatuvalia magwanda ya chadema siku ya halusi.
Kuhusu babu asiwasumbue sana, anapokea rushwa ya pombe.
Klorokwin kwani mbu amemfungulia moyo MJ1
hahahaah
Klorokwin kwani mbu amemfungulia moyo MJ1
hahahaah
Mbu aksante kwa link............... nimekumbukia jamani Reli ya Kati..mwe!!
kaka yaani hakuna kitu kibaya na ambacho watu tunajisahau kama kuwa na routined love relationbship...............yaani mtu akishazoea ukitoka kazini anakupokea na glasi ya juice mlangoni.....basi atafanya hivyo kila siku!! ili mradi aliambiwa hiki ni kizuri na mume/ mpenzi atakipenda basi yeye 24/7/365 atakifanya hicho bila hata kukiboresha!! anasahau kuwa anatakiwa kukispice up...kama leo kakupokea na glas ya juice akiwa na khanga, basi kesho akupokee na glasi ya juice in lingerie......kesho kutwa juice inakuwa after the 'service' juu ya kochi ..........au instead of juice basi a kiss............
Klorokwin kwani mbu amemfungulia moyo MJ1
hahahaah
Soledad lyrics
If only you could see the tears in the world you left behind
If only you could heal my heart just one more time
Even when I close my eyes
There's an image of your face
And once again I come I'll relise
You're a loss I can't replace
Soledad
It's a keeping for the lonely
Since the day that you were gone
Why did you leave me
Soledad
In my heart you were the only
And your memory live on
Why did you leave me
Soledad
Walking down the streets of nothingville
Where our love was young and free
Can't believe just what an empty place
It has come to be
I would give my life away
If it could only be the same
Cause I can't still the voice inside of me
That is calling out your name
Soledad
It's a keeping for the lonely
Since the day that you were gone
Why did you leave me
Soledad
In my heart you were the only
And your memory live on
Why did you leave me
Soledad
Time will never change the things you tols me
After all we're meant to be love will bring us back to you and me
If only you could see
Soledad
It's a keeping for the lonely
Since the day that you were gone
Why did you leave me
Soledad
In my heart you were the only
And your memory live on
Why did you leave me
Soledad
halafu unajua kuna maneno yana maana zaidi ya mbili,...reli ya kati ndio nini? LOL...
mnh,..kaka? ...lol...utazoea tu...ipo siku utaniita Mume wangu,...kuniita kaka itakuwa una disconnect 'stima' sawa na yule mdada kauzu kwenye ile sredi ya Maty...
...1stLady bana...mwenye macho anaambiwa tazama?
halafu leo ni sabato, au jua lishazama?
Hapana Dada yangu mpenzi bali Mbu ameamua kuchakachua penzi lake kwa 'soulmate'wake na kuligawa kwangu!!!
MJ1 hapa ni small house ambayo Big House imekubali niwe promoted....................hahaha mzima lakini?? umepotea!
Khaaaa! heri mie sijasema! lol
Khaaaa! heri mie sijasema! lol
hahahah MJ1 umekubali kuwa small house wa Mbu ..dah hii kazi..sina hakika kama bi mkubwa kakubali toka moyoni
mie nipo tu mpendwa mkoloni ameamua kunitumia ipasavyo..missing you big tyme
Dah! senks festiledi! huu wimbo yaaani kuna jamaa niliishi nae getto alikuwa anauplay kila siku mara si chini ya saba, halaf na akienda bafuni anazima redio anaanza kuuimba yeye mwenyewe laivu bafuni. Mwisho jamaa walimpachika jina la soledadi. Umenikumbusha mbali aisee.
[/SIZE][/FONT][/COLOR]Mwe................mbona kama ni mume nina hasara...........itanigharimu nirudi shule ya lugha? nakikumbuka nilivyofeli ule mtihani wa kiswahili nloletewa wimbo wa 'Mwanameka'.....mi ctaki.
Hahahha...mazoea yana tabu.......but Babu hajatoa idhini so in a mean while you are my Kaka....lol
.............lol
hahahah MJ1 umekubali kuwa small house wa Mbu ..dah hii kazi..sina hakika kama bi mkubwa kakubali toka moyoni
mie nipo tu mpendwa mkoloni ameamua kunitumia ipasavyo..missing you big tyme
On Serious note ........................Klorokwini nahitaji ku'onana' nawe!! lol
(I hope Mbu hatoiona hii!!!).......seriously
Hahaha the deal is not sealed yet.......kuna conditions sweetheart and you know me better............!! am sure atabwaga manyanga.......akisurvive then HE IS A MAN ENOUGH!! lol