Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,466
- 65,778
Binadamu huwa tunatembeleana sana yaani je ni kitu gani ulikutana nacho ugenini ukabaki mdomo wazi au kucheka tu
Mimi nilikutana na maneno katika kutambulishwa kwa mtoto wake mdogo alikuwa kama ana miaka 6 hivi akalopoka tu mama huyu ndio uncle jana ulisema upendi kuongea nae kwenye simu mama akasema sio huyu kwanza toka mtoto akagoma akasema ndio yeye si ulisema anaitwa…… nikaaga mda uho uho sikurudi tena kwakee
Je wewe ni kipi ulikutana nacho au mtoto alikuumbua kwa lipi?
Mimi nilikutana na maneno katika kutambulishwa kwa mtoto wake mdogo alikuwa kama ana miaka 6 hivi akalopoka tu mama huyu ndio uncle jana ulisema upendi kuongea nae kwenye simu mama akasema sio huyu kwanza toka mtoto akagoma akasema ndio yeye si ulisema anaitwa…… nikaaga mda uho uho sikurudi tena kwakee
Je wewe ni kipi ulikutana nacho au mtoto alikuumbua kwa lipi?