Ulikutana na kituko gani ugenini

Ulikutana na kituko gani ugenini

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,466
Reaction score
65,778
Binadamu huwa tunatembeleana sana yaani je ni kitu gani ulikutana nacho ugenini ukabaki mdomo wazi au kucheka tu

Mimi nilikutana na maneno katika kutambulishwa kwa mtoto wake mdogo alikuwa kama ana miaka 6 hivi akalopoka tu mama huyu ndio uncle jana ulisema upendi kuongea nae kwenye simu mama akasema sio huyu kwanza toka mtoto akagoma akasema ndio yeye si ulisema anaitwa…… nikaaga mda uho uho sikurudi tena kwakee

Je wewe ni kipi ulikutana nacho au mtoto alikuumbua kwa lipi?
 
Binadamu huwa tunatembeleana sana yaani je ni kitu gani ulikutana nacho ugenini ukabaki mdomo wazi au kucheka tu

Mimi nilikutana na maneno katika kutambulishwa kwa mtoto wake mdogo alikuwa kama ana miaka 6 hivi akalopoka tu mama huyu ndio uncle jana ulisema upendi kuongea nae kwenye simu mama akasema sio huyu kwanza toka mtoto akagoma akasema ndio yeye si ulisema anaitwa…… nikaaga mda uho uho sikurudi tena kwakee

Je wewe ni kipi ulikutana nacho au mtoto alikuumbua kwa lipi?
Kigeto geto nilienda kwa msela wangu nikakuta anajifunika shuka la MSD
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom