kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,415
- 17,130
Kande mkuuWatu mnakula makitu ya ajabu ukitoa huyo samaki na nyanya na hiyo ndimu, hayo mengine ni manini?!
Kande mkuuWatu mnakula makitu ya ajabu ukitoa huyo samaki na nyanya na hiyo ndimu, hayo mengine ni manini?!
Ambao hatujawahi kukaa geto tupite kwa Mbali tusije waharibia uzi wenu


mnaogopa msije mkatoleea mBiOHuto tapika???






Siku ukute kasafisha chumbaWanangu samahani
Hivi kukaa geto na demu vipi?? Imekaaje??
Kwenye suala zima la utafutaji??
Yani kabla ya ndoa unaamua kukaa geto na demu
Ushauri wazeee wa kazi
,au basi
😁😁😄Siku ukute kasafisha chumba,au basi
![]()
Umeweka nyanya nyingi sana,
Ndiyo hivyo,habari za kuokotana na kuwekana ndani ni risk,wadada baadhi wamekuwa wezi hatarii,
Siku ukute kasafisha chumba,au basi
![]()





kahamisha na kirikuu, au kikundi chake cha UPATUMboga ya nyanya 2 kubwa na vitunguu 2 tuu no additionUmeweka nyanya nyingi sana,
Mboga usitie mafuta mengiii au nyanya nyingiiii,,,weka kiasi tu inapendeza, Nyanya unatumia kusaga??
Halafu kitunguu jitahidi uwe unakata vyembamba,maana hapo vinaonekana
Nyanya nyingi na mafuta mengi ndiyo fresh mboga inakuwa rosti mchuzi mzito ni mzuri zaidi kuliko mchuzi wa mimaji mimajiUmeweka nyanya nyingi sana,
Mboga usitie mafuta mengiii au nyanya nyingiiii,,,weka kiasi tu inapendeza, Nyanya unatumia kusaga??
Halafu kitunguu jitahidi uwe unakata vyembamba,maana hapo vinaonekana
😁😁😁😁😁😁 ntaweka mengine kwakwel
Hapana akae kwao awe anakuja kukusalimia tu,saiz we jiweke sawa kwanza mwenyewWanangu samahani
Hivi kukaa geto na demu vipi?? Imekaaje??
Kwenye suala zima la utafutaji??
Yani kabla ya ndoa unaamua kukaa geto na demu
Ushauri wazeee wa kazi
asipofata ushauri wako atakuja kujuta sanaaa.. yani hapo anaanza kujibebesha majukumu makubwa mapema japo inakomaza akili ila inakufanya usiwe huru na ushindwe kufanya mambo yako ya msingi kwanzaHapana akae kwao awe anakuja kukusalimia tu,saiz we jiweke sawa kwanza mwenyew
Tupia zulia kijana, issue za kapeti za kawaida zimeshapitwa na wakatiIpi iko fresh zulia au kapeti ya kawaida?!!?