Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 2,693
- 5,320
Yes unachukia vile vya muhimu tu, accessories ndio zitafata baadaeCha pili ukiwa unaishi geto epuka kumiliki vitu visivyo vya lazima kama makabati masofa sio vitu ambavyo vinafaa Sana kumiliki Kama unaishi chumba kimoja Tena ukiwa unandoto za kujenga nunua vitu vichache tu tena vya muhimu sio unakua na geto Kama dsico mzuki mnene mpaka mwenye nyumba akuchukie