Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Maish ya home pia naona good coz mtu una kaz yako n kurud home jion unakula kwa mama fresh sifikirii kuhama nyumbn myb nikiwa teyr kuwa n familia yangu. Tatz linakuja kila manzi unaemtongoz anakuulz unaisha kwko au home.
ko unamkomaa kwa bimdashi.....
Getto ipo raha bro, hasa ukiwa na harakat zako za kimaisha... Ni full uhuru an.
 
Tupieni na picha
,
JamiiForums-1442761708.jpg
 
Hivi, Humu hakuna mwenye anayeuza flat yake inch 32 bei ya ghetto lakini, maana
Oyaaa mwanangu Kama uko fresh jipange tu usinunue kwa mtu ingia shop, m nilinunuaga kwa laki 3 na elfu 70.
 
Back
Top Bottom