Naona hata hunielewi, speaking of sex u can have it with anyone, mapenzi na mtu unayempenda!Mapenzi bwana! Uasherati ni kwa mujibu wa sheria za kidini.
Nilianza nikiwa advance!Wewe ulianza lini?
Nione nini picha hutumi😅Kama hauamini bado nna uvulana wangu, Njoo unijaribu then utawaletea majibu kuwa umeona lailon au hujaona 😎
Huwezi kuzini au kufanya uasherati na mpenzi wako? Kwamba waasherati wao hawapendani?Naona hata hunielewi, speaking of sex u can have it with anyone, mapenzi na mtu unayempenda!
Nilianza nikiwa advance!
Hapa hatuongelei kufanya ngono na mtu yoyote, tunaongeleea mapenzi kiujumla! Ndiomaana tunamuuliza mtoa mada kuna wengine walianza kwa mapenzi, wengine walianza kwa tamaa au kudanganywa!Huwezi kuzini au kufanya uasherati na mpenzi wako? Kwamba waasherati wao hawapendani?
Mjukuu,Hapa hatuongelei kufanya ngono na mtu yoyote, tunaongeleea mapenzi kiujumla! Ndiomaana tunamuuliza mtoa mada kuna wengine walianza kwa mapenzi, wengine walianza kwa tamaa au kudanganywa!
Acha kunidhalilisha acha nikutafutie demu huo mkono upmzikeHaya n matokeo ya malezi mema kutoka kwako dada yangu tangu nikiwa mdogo 😎
Hebu soma kwanza mada upya ndio tuendelee..Mjukuu,
Kwa hiyo nikiwa na mpenzi wangu ninakuwa nafanya ngono na sio mapenzi?
Naomba tofauti ya hayo maneno na jinsi yanavyotumika.
Hapo utakuwa umefanya jambo jema sana, na huyo ndie atakuwa mke wangu 😎Acha kunidhalilisha acha nikutafutie demu huo mkono upmzike
TawileHapo utakuwa umefanya jambo jema sana, na huyo ndie atakuwa mke wangu 😎
Mapenzi yaani uzinzi?Sio kwa ubaya
Ulianza kufanya mapenzi ukiwa na miaka mingapi?
Hongera sana Mkuu, tutume wazee tukupelekee posa kwa yule bintiNna mwaka wa 30 huu sasa situmii ubongo na bado nguvu na ukubwa bado upo
Binti gan tena Jaman, kumbe nna mpenzi afu cjui 😂Hongera sana Mkuu, tutume wazee tukupelekee posa kwa yule binti
Itakusaidia kuachana na nyeto 😜
Huu ni utani wa Wazee tu, tunatumia lugha fiche kufikisha ujumbe kwamba tuna muda mrefu hatujatumwa kupeleka posa mahali, hivyo fanyeni hima mtutume Babu zenu 😂Binti gan tena Jaman, kumbe nna mpenzi afu cjui 😂
Nakubali nakubali mkuu 🤝Huu ni utani wa Wazee tu, tunatumia lugha fiche kufikisha ujumbe kwamba tuna muda mrefu hatujatumwa kupeleka posa mahali, hivyo fanyeni hima mtutume Babu zenu 😂
Kila la heri Mkuu 🙏🙏Nakubali nakubali mkuu 🤝