KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,174
Huo uzi hautowi ushahidi wowote kuunga mkono mada uliyoiweka hapa.Someni huu uzi
![]()
Tundu Lissu kwa sasa anaishi katika fikra za watanzania wengi kuliko mtanzania mwingine yoyote yule
Kupitia hapa JamiiForums, niliwahi taja sifa kuu 7 za Tundu Lissu kulingana na mtazamo wangu na moja ya sifa hizo ilkuwa ni uwezo wa Lissu kuona mbali(foresight). Nilimpa sifa zile sio kwa lengo la kumsifia tu au kumjenga kisiasa,bali niliona mapema sifa alizonazo pamoja na uwezo huo alioanao...www.jamiiforums.com
Unashindwa kutofautisha, au ilivyo kawaida yako, unapindisha hoja kukidhi lengo lako.
Mteuzi na mteuliwa ni watu wawili tofauti.
Mteuzi akiwa ni mkabila, sio lazima anayeteuliwa naye awe ni mkabila hivyo hivyo, kuna lipi la kushangaza hapo!