Ule ukabila vipi?

Ule ukabila vipi?

Mabeyo alikuwa na afisa mwandamizi jeshini kabla hata ya Magufuli kuwa rais. Kwa nafasi aliyokuwa nayo nina uhakika alikuwa qualified kwenda juu zaidi. Lakini huo sio ushahidi kwamba kabila lake halikuwa na nafasi kwenye uteuzi. Inawezekana alikuwa na vigezo kama wenzake na mzee akaona huyu wa kwetu atanifaa zaidi.

Lakini pia, hata kama "aliteuliwa kwa sababu ya kabila lake", na sasa "kaamua" kuwa mwaminifu kwa Mzanzibari, haifuti uwezekano wa ukabila kwenye uteuzi wake. They are mutually exclusive issues. Na sasa hivi, kila mtu yupo kwenye survival mode, Mama ameshakuwa CIC, loyalty to the former CIC or the tribe will not take you anywhere.

Kwa kifupi, ukabila kwenye uteuzi na uaminifu kwa Rais mpya yanaweza kwenda pamoja bila conflict.
 
Magufuli mwenyewe hakuwa msukuma mnajipendekeza tu kwake.
 
Usilete blah blah hapa,wale walikuwa Wapare wakijenga Mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla wake. Nakuuliza tu swali moja,nyinyi Kaskazini ndiyo mna haki zaidi kuliko wengine katika hii Nchi?
Watu wa Kaskazini watupishe kwanza wao wanahisi wana haki kuliko wengine Magufuli alichofanya kuwaweka pending ndo maana walikua wanamchukia mnooo!!!but the truth ni ku hakuna wakabila km wao!na alikua anajitahidi kupeleka maendeleo sehemu ambazo hakuna sasa wao wamesahau Msuya alipeleka umeme milimani huko miaka ya 80's then Mramba alitenga robo bajeti ya wizara kupeleka barabara Rombo enzi ni waziri wa Fedha!wakae watulie ndugu zetu wachaga japo tunawapenda lakini kwa ukabila hawana mpinzani ktk hii nchi
 
Kwani hujawahi ona mtu mbaya anabadilika kua mwema?
 
Sitaki kuamini kuwa samaki mmoja akioza na waliobaki nao basi!
Kama ni kweli alisimama kidete na mama yetu mpendwa tumpe pongezi kwa hilo but if there are hidden intentions only time will reveal
Kwa sasa twende na tunachokiona rather than tunachokihisi!He did exactly what he was suppose to do and he surely deserves credit for that!
Kudos to the man of the show!
 
Mwanzo nilijua Chadema ni chama cha siasa, so ilipofika 2011 nilichukua kadi

Nilimkubali sana Zitto na Slaa enzi hizo

Baada ya kufika moshi na kugundua siri ya Chadema nilichoma kadi haraka sana

Sasa hua nikiwaona wasukuma wanashangilia chadema, najisemea mwenyewe kuna siku wataijua siri ya hawa wanaowashangilia

Pale chadema hata tundu lissu hana thamani kama John Mrema

Na ukitaka ujue hawa ni wakabila, hata kipindi vifo vya corona vimepamba moto

Walishangilia kila kifo cha mtu wa serikalini isipokua mwenye jina la kwao tu

Ninachoshukuru Mungu hii nchi abadani haitokuja kutawaliwa na mchaga, hata wafanyeje.
 
Hii habari ya kuweka watu jeshini kwa vigezo vya ukabila na ukanda si jambo jipya. Africa yote wanafanya hivyo na Nyerere mwenyewe ndiyo alikuwa kinara wa kufanya hivyo, alijaza watu wa mara jeshini na polisi. Tushukuru kuwa jeshi letu lina nidhamu na linafuata taaluma yao. Ndiyo sababu Kwenye hotuba Mabeyo alitumia sehemu kubwa kusisitiza kuwa watamtii Rais na hata alipoomba akawafanyie kamisheni maofisa alisema kinyenyekevu kabisa, hilo ndilo la kijivunia lakini ukabila na ukanda jeshini haujaanza leo na baba wa taifa ndiye muasisi.
 
Huyo kwa matakwa ya ofisi yake anakuwa mtiifu kwa amiri jeshi mkuu yeyote kwa mujibu wa katiba sasa cha ajabu nini hapo.

Wewe mleta mada hukuwa na sababu ya kuanzisha mada kama hii labda ili tu uonekane kwamba na wewe umeleta mada japo haina mantiki kabisa.
 
Uko mnapowasukumia wasukuma chama chao kiwe ccm mtakuja kulia siku moja.

Wewe waache tu,wanatuchukulia poa sana. Kipindi Mchagga anakuwa Mbunge Jimbo la Ilemela,hatukuwahi sikia masimango yao,sidhani wao kama itakuja tokea Msukuma akawa Mbunge Jimbo lolote Kirimanjaro. Kwa hili la kutusimanga acha twende na CCM,itawale hata miaka 100 ijayo ni sawa kabisa.
 
Watu wa Kaskazini watupishe kwanza wao wanahisi wana haki kuliko wengine Magufuli alichofanya kuwaweka pending ndo maana walikua wanamchukia mnooo!!!but the truth ni ku hakuna wakabila km wao!na alikua anajitahidi kupeleka maendeleo sehemu ambazo hakuna sasa wao wamesahau Msuya alipeleka umeme milimani huko miaka ya 80's then Mramba alitenga robo bajeti ya wizara kupeleka barabara Rombo enzi ni waziri wa Fedha!wakae watulie ndugu zetu wachaga japo tunawapenda lakini kwa ukabila hawana mpinzani ktk hii nchi

Walituchukulia poa sana Makabila mengine,wakajiona wajanja wao kumbe kina Mramba walikuwa wanajichotea tu hazina kadri wapendavyo wanajenga Kilimanjaro. Sasa hivi tumeamka,hakuna tena janja janja kama zamani
 
ccm imejaa wajinga wanaoweza kusema chochote ili mradi mkono uende kinywani.
 
Mwanzo nilijua Chadema ni chama cha siasa, so ilipofika 2011 nilichukua kadi

Nilimkubali sana Zitto na Slaa enzi hizo

Baada ya kufika moshi na kugundua siri ya Chadema nilichoma kadi haraka sana

Sasa hua nikiwaona wasukuma wanashangilia chadema, najisemea mwenyewe kuna siku wataijua siri ya hawa wanaowashangilia

Pale chadema hata tundu lissu hana thamani kama John Mrema

Na ukitaka ujue hawa ni wakabila, hata kipindi vifo vya corona vimepamba moto

Walishangilia kila kifo cha mtu wa serikalini isipokua mwenye jina la kwao tu

Ninachoshukuru Mungu hii nchi abadani haitokuja kutawaliwa na mchaga, hata wafanyeje.

Mimi pia nilikuwa naipenda CDM sana,nilikiunga JF kipindi hicho kina Dr Slaa ,Mwanakijiji,Nyani Ngambu, mwafrika wa Kike na wengine wengi wakiwa wanashusha nondo haswa,but kadri muda ulivyokuwa unakwenda,kina Slaa,Zito na wengine kuondoka ,sikuelewa mwanzoni,lakini kwa sasa,nimeshangundua kumbe ni usanii mkubwa wa Wachagga kutaka kupanda pale juu kupitia migongo ya Makabila mengine kimya kimya.

Nimesema huko nyuma,Lisu hana maana yoyote mbele yao,si ajabu hata kwenye vikao vyao wanaviendesha kwa kuongea Kichagga.Acha CCM itawale hata miaka 100 ijayo ni poa tu.
 
Ili huu uzi ueleweke kwa usahihi, ingefaa sana kuweka hapa majina ya hao waliotaka kuikiuka katiba ili tuone kuwa kweli ni wasukuma?!
 
Back
Top Bottom