Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,495
- 1,802
Jenerali Venance Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi wa nane kuliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu alipoteuliwa tarehe 06 February 2017 na Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli.Sina.
Tuwekee.
Jenerali Venance Mabeyo alijiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tarehe 01 January 1979 na kuhudhuria kozi ya afisa mwanafunzi na kupata kamisheni mwaka 1980 kuwa Luteni Usu.
Jenerali Venance Mabeyo alihudhuria kozi na Elimu ya juu ya kijeshi sehemu mbali mbali ndani na nje ya nchi, baadhi ya nchi hizo ni
1) Kenya Military Academy, Lanet, Nakuru. Kenya,
Under. Lieutenant-General Lazaro Sumbeiywo
1) Nationa Defence College of India, under Lt. Gen. Asit Mistry , Location: Khadakwasla Pune, Maharashtra.
2)Bsc Military science, Intelligence. Kingstone University,
Royal Military College, Ontario, Canada
Under; Lieutenant-General Wayne Eyre, Chief of the Defence Staff
3a) MS Military Science,
US Army War College, Senior Service Faculty,
Carlisle, Pennsylvania
3b)West Point Military Academy, Center for strategic intelligence.
Under : Maj. Gen. Stephen J. Maranian.
Jenerali Venance Mabeyo katika kulitumikia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania alishika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwambata Jeshi nchini Rwanda, Msaidizi wa Mkuu wa Majeshi , Mkuu wa Tawi la Usalama na Utambuzi na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ.
Jenerali Venance Mabeyo ametunukiwa medali mbalimbali.