Kwa jinsi alivyopandishwa haraka haraka kwa muda mfupi akiwavuka wengi wa juu yake na wenye uziefu, ndio alipata kwa sbb ya u 'homeboy'. Kutoka kukaimu u deputy wa mkuu wa MI, kuwa boss wa MI mpaka alipofikia kama sikosei ndani ya miaka miwili huku wa juu wakipelekwa ukoo wa mikoa, ubalozi kama sio kupisha ni nini? ' inafikirisha au haifikirishi?
Tushukuru tunalala na kuamka salama lakini haya mambo yalipitiliza na kuletea joto kali sana huko kwenye majiko.
Tumuache marehemu apumzike tusianzishe vya kufanya watu waanze kumsemasema
Nyani Ngabu