Ule ukabila vipi?

Ule ukabila vipi?

Mushi. Nikisema wachaga ndiyo waneneza chuki dhidi ya Wasukuma kwa kua mlizoea kudominate wizara na magu hakuruhusu kabila moja kudominate wizara.

Kwa taarifa yako wakati mnasema Magufuli alipendelea Wasukuma baraza lake la Mawaziri la sasa Mkoa mzima wa Mwanza hakuna waziri hata mmoja.

Pili Mawaziri wasukuma ni wawili tu. NB BITEKO siyo msukuma.

Mkoa wa Simiyu kuna Waiziri mmoja
Mwanza hakuna waziri
Shinyanga hakuna Waziri
Geita Mawaziri 2 na mmoja siyo msukuma.

Taarifa zaidi. Waziri gwajima siyo msukuma jina Gwajima ni la mme.

Na Mabula ni wa wapi?

Zingatio: mimi na ukabila ni maji na mafuta.
 
Chuki tu. Wasukuma ni jamii kubwa ambayo haijawahi kusubiri uteuzi kuendesha maisha yao
Kusema Magufuli alikuwa anachukia wachaga siyo uongo. Hili liko wazi na nilipata info kutoka ndani kabisa. Kusema Magufuli alikuwa anapendelea watu wa kanda ya Ziwa kwa uteuzi siyo uongo. Tunaweza kubishana mpaka kesho lakini ndivyo. Imebaki kuwa historia na nia yake ovu imebaki historia.
 
..hawakushindwa hoja, bali walichafuliwa kwa propaganda.

..chama chao kilipakaziwa kuwa ni mali ya Wachaga, wakati huohuo waTz walishafundishwa kwamba Wachaga ni watu wabaya.

..Kuna kipindi mtu mkubwa serikalini alitoa hotuba kuwaambia wananchi, " msiuze ardhi yenu kwa wachaga."

..Halafu kuna kijana mmoja mtoto wa mkubwa akajiapiza mbele ya wananchi kwamba Tz haitakuja kuongozwa na mtu kutoka kaskazini.
Naam, na tofauti ni kwamba waliokuwa wanatoa tuhuma hizi ni viongozi wa serikali na chama tawala na hivyo propaganda hizo zilitumika kuzichafua na kukandamiza sauti zao. Wahenga wanasema...give a dog a bad name and then hang him!
 
Kama amefika daraja la juu na kuwa na hadhi ya kuongoza jeshi hapo hakuna ukabila Bali cheo ndio kinaongea na nafasi yake jeshini
 
Nimekuelewa vizuri sana. Wewe unachofanya ni upotoshaji kwamba watu walisema hivyo kwa kuangalia nafasi moja tu wakati waliangalia trend za teuzi.Wakati huo Waliangalia TRC, KM Hazina, Waziri Nishati,Waziri Mifugo, RC Dar , NW Ardhi, NW Madini

Kipindi cha kina Mramba,Yona,Mgonja,Kitillya,Kimei ilikuwaga sawa si ndiyo?
 
Kwanza unafahamu Mkapa na JK hawakuwa wachaga? Unafahamu Yona na Mgonja ni Wapare? Halafu unafahamu hapo unazungumzia Marais wawili(miaka 20 na sio 5)?
Mwisho ukabila ni pale mtu wa kabila moja anopofanya uteuzi mwingi kutoka kabila lake, sasa kwa hao ukabila unatoka wapi?

Usilete blah blah hapa,wale walikuwa Wapare wakijenga Mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla wake. Nakuuliza tu swali moja,nyinyi Kaskazini ndiyo mna haki zaidi kuliko wengine katika hii Nchi?
 
Kusema Magufuli alikuwa anachukia wachaga siyo uongo. Hili liko wazi na nilipata info kutoka ndani kabisa. Kusema Magufuli alikuwa anapendelea watu wa kanda ya Ziwa kwa uteuzi siyo uongo. Tunaweza kubishana mpaka kesho lakini ndivyo. Imebaki kuwa historia na nia yake ovu imebaki historia.

Mbona leo mnanyoosha mikono kwa CDF Mabeyo,au yeye hakuteuliwa na JPM,au mnatamani na yeye mmpachike jina la Massawe?
 
Mbona leo mnanyoosha mikono kwa CDF Mabeyo,au yeye hakuteuliwa na JPM,au mnatamani na yeye mmpachike jina la Massawe?
Wakina nani? Unaota? Uliona wapi nanyoosha mikona kwa CDF? Umenifananisha wewe
 
Waasisi wa siasa za ukabila, ukanda na udini ni CCM wenyewe, hizi ni hoja zao mezani mwao siku zote hata hoja ya usukuma imeibuliwa huko.
 
Back
Top Bottom