Ulaya pamenishinda narudi bongo

Status
Not open for further replies.
Kiongozi kwaio vzr usome lugha yao hata miezi flani km short course ausio? Wkt ume ingia na je hizi permits ina kuaje mkuu hebu tu fungulie kgd Kiongozi
1. Kufahamu lugha yao ni jambo muhimu iwapo unahitaji kweli kuzamia/kuishi. Namna gani utafahamu lugha hilo ni jambo lingine ambalo unaweza kutumia njia mbalimbali ikiwamo njia ya online studies (Youtube n.k)
2.Kupata permit ya kuishi/kuingia nchi nyingine ni issue kubwa kidogo. Kwanza uwe na passport, kisha uanze kuomba VISA/Residence permit ambapo unatakiwa na sababu maalumu; mfano masomo, kutalii, mwaliko wa aina yoyote n.k. masharti mengine utayafahamu ukishaanza mchakato.
 
Huyu Mwehu atakuwa karudi kweli!!! Maana flights zote zipo grounded bcause of corona!! Labda aje na dege la mizigo linalokuja kuchukua mboga mboga pale KIA!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahaaha yani paragraph ya kwanza haihusiani na ya pili....juu ushauri wa hekma chini naona umetumia mbinu za usutaji za kina mama wa uswahilini ..
 
Pole sana, nchi za ulaya zina sheria zake. Kama huko Sweden kwanza ujue lugha yao. Kwa sisi kibongo bongo bora uzamie nchi ambayo first language ni English. Juu ya yote kama huna work permit utasumbuka unless uwe na mwenyeji wa kukulisha . Ila ukiwa na Kibali cha kazi tu ( naongelea UK) unatoka usiwe mvivu anzia na kazi za unskilled ( kulea vizee. Kazi hiyo ina hela) baadae cv yako unai upgrade mengine yanafuata ila mwanzo ni mgumu
 
Mtoto mchele mchele wewe... kwenda kwenyewe yondo sister umefunga mkanda! Wenzio hapo tumeingia kwa kupiga mitumbwi ndo tukaingia pande hizo. ila haikuwa mavumba tukarost na kurudishwa bongo kula vitumbua vya moto na mihogo ya kukaanga. Yani ww kiwanja ushaingia tena umepokelewa maji moto maji baridi miezi mitatu tu umembwela😯 inaonekana hata huku bongo maisha yenu mboga saba ugali kitenesi. Kwa hiyo ww ulitegemea ukiingia kiwanja tu kuna miti ya hela? Afu nyie ndo mkirudi mnakuja kuongea udwanzi habari za viwanja. Kibaharia una kesi ya kujibu☹
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…