orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,953
- 4,924
Pole sana bro, najua jinsi Ulaya palivyo pagumu kuanza bila ya kuwa na connection za kikazi hasa Sweden. Cha kufanya ni kurudi nyumbani mapema au kuanza chini, cleaning jobs zinasaidia kwa kuanzia, ila sasa una visa ya kufanya kazi? Jaribu kuongea na watu wa kanisa lako kama wanafahamu jinsi ya kupata sponsor wa masomo kisha soma chochote hata kiswed, kitambulisho chako cha shule kitakupa kazi na visa ya kusoma pia itakupa kazi. Kila la heri.Mim mwehu ndama kijana wa kitanzania niliwah kuandika uzi kuomba msaada kuhusu jinsi yakupata visa yakuingia nchini Sweden, na nashukuru Kwa maoni ya baadhi ya wadau nilifanikiwa kufuata ushauri nakufanikiwa kutia maguu ndani ya bara la uropa.
Lakini tangu nilipotoka bongo nakufika hapa ughaibuni huku kichwani nikiwa na lengo la kujilipua nakubaki huku moja Kwa moja maisha yamekua tofauti na nilivyo fikiria..
Ukizingatia mwenyeji wangu nayeye anaishi hapa kiujanja ujanja.
Niliomba visa ya wiki 3 na bahati nzuri baada yakufika hapa na nlipokaribia KUMALIZA muda wangu waliniongeza miezi mingine 3.
Lakini sasa sioni kinachobadilika katika maisha yangu zaidi yakupata huduma nzuri ya chakula nakuvuta hewa Safi hapa Uppsala .
Kiukweli maisha ya hapa yanazidi kuwa magumu Kwa upande wangu sababu nimejaribu kuanzisha mahusiano na mabinti, wanawake watu wazima Hadi vikongwe ili kusudi atakae jaa nioe ili niweze kupata makaratasi lakini nawao wamekuwa wagumu.
Sitaki kujivika status za kikimbizi maana nahisi ntaaribu kabisa mpangilio wote wa maisha yangu nakuitendea ubaya elimu yangu niliyoipata Kwa shida bongo land.
Nimekua mzururaji na cha ajabu hata zile KAZI za kubeba box nilizokua nazisikia zikisemwa Sana na wadau humu jf sizipati.
Kwa kifupi uchumi wangu umedidimia mara 100 zaidi ya hata nilivyokua bongo , mpaka najuta Kwa nini nilitumia pesa yangu nlioichanga Kwa shida kama nauli yakuja huku uzunguni pasipo na manufaa ya kiuchumi kwangu.
Hapa navyoongea nimeshawasilisha ombi la msaada wa nauli ya kurudi nyumbani katika kanisa naloSali hapa Uppsala.
Kwa kifupi narudi nyumbani na nikifika hapo Kwa mkuu jiwe naenda moja Kwa moja kijijini kwetu namanditi songea kulima.
Bye bye wabongo mliopo Sweden mim maisha yamenishinda narudi nyumbani.
View attachment 1389715View attachment 1389716
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikir Euro 15,000 ni mchezo mkuu...unajitahidi unaipata tu!!??Kama huna pesa bongo usije bora kuwa illegal migrant tu huko huku ukifanya kazi kwenye mashamba huko
Jitahidi ukitaka kurudi bongo angalau uwe hata na € 15000 za kuanzia hapa bongo otherwise hata papuchi za bongo zitakushunda kununua utakufa na ugumu wako kutoka ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto mchele mchele wewe... kwenda kwenyewe yondo sister umefunga mkanda! Wenzio hapo tumeingia kwa kupiga mitumbwi ndo tukaingia pande hizo. ila haikuwa mavumba tukarost na kurudishwa bongo kula vitumbua vya moto na mihogo ya kukaanga. Yani ww kiwanja ushaingia tena umepokelewa maji moto maji baridi miezi mitatu tu umembwelainaonekana hata huku bongo maisha yenu mboga saba ugali kitenesi. Kwa hiyo ww ulitegemea ukiingia kiwanja tu kuna miti ya hela? Afu nyie ndo mkirudi mnakuja kuongea udwanzi habari za viwanja. Kibaharia una kesi ya kujibu
![]()




KhaHongera kwa kujitambua. Maisha ya mbele ni magumu sana.Mim mwehu ndama kijana wa kitanzania niliwah kuandika uzi kuomba msaada kuhusu jinsi yakupata visa yakuingia nchini Sweden, na nashukuru Kwa maoni ya baadhi ya wadau nilifanikiwa kufuata ushauri nakufanikiwa kutia maguu ndani ya bara la uropa.
Lakini tangu nilipotoka bongo nakufika hapa ughaibuni huku kichwani nikiwa na lengo la kujilipua nakubaki huku moja Kwa moja maisha yamekua tofauti na nilivyo fikiria..
Ukizingatia mwenyeji wangu nayeye anaishi hapa kiujanja ujanja.
Niliomba visa ya wiki 3 na bahati nzuri baada yakufika hapa na nlipokaribia KUMALIZA muda wangu waliniongeza miezi mingine 3.
Lakini sasa sioni kinachobadilika katika maisha yangu zaidi yakupata huduma nzuri ya chakula nakuvuta hewa Safi hapa Uppsala .
Kiukweli maisha ya hapa yanazidi kuwa magumu Kwa upande wangu sababu nimejaribu kuanzisha mahusiano na mabinti, wanawake watu wazima Hadi vikongwe ili kusudi atakae jaa nioe ili niweze kupata makaratasi lakini nawao wamekuwa wagumu.
Sitaki kujivika status za kikimbizi maana nahisi ntaaribu kabisa mpangilio wote wa maisha yangu nakuitendea ubaya elimu yangu niliyoipata Kwa shida bongo land.
Nimekua mzururaji na cha ajabu hata zile KAZI za kubeba box nilizokua nazisikia zikisemwa Sana na wadau humu jf sizipati.
Kwa kifupi uchumi wangu umedidimia mara 100 zaidi ya hata nilivyokua bongo , mpaka najuta Kwa nini nilitumia pesa yangu nlioichanga Kwa shida kama nauli yakuja huku uzunguni pasipo na manufaa ya kiuchumi kwangu.
Hapa navyoongea nimeshawasilisha ombi la msaada wa nauli ya kurudi nyumbani katika kanisa naloSali hapa Uppsala.
Kwa kifupi narudi nyumbani na nikifika hapo Kwa mkuu jiwe naenda moja Kwa moja kijijini kwetu namanditi songea kulima.
Bye bye wabongo mliopo Sweden mim maisha yamenishinda narudi nyumbani.
View attachment 1389715View attachment 1389716
Sent using Jamii Forums mobile app
Napapenda sana yaani.Na unavyopapenda.
Sema sasa miji yao ya kistaarabu sanaNapapenda sana yaani.
Ulikua unatembelea mitaa ya Château rouge,Château d'eau.Huko ukitoka tu kwenye metro unakutana na waafrica wapiga debe wa saloon za kusuka nywele nilijihisi nipo Mwenge Dar. Sasa kwa nini ulirudi huku Tanzania ?
😀😀😀😀😀
Tulipowaambia mapopoma wengi walibisha na hasa wale wanaodai aheri kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa mwanandamu Bongo,kwa mtu ambaye mwisho wake kusafiri ni Dar ataamini kuwa huko majuu maisha ni rahisi,kiuhalisia Bongo ni peponi,na hata Le mutuz alipoandika humu watu walimkebehi tena hao ni wale ambao hata pasipoti hawajui ni kitu gani.ndugu yangu rudi tu nyumbani afadhali umejionea mwenyewe.Hilo box hakuna labda kwenda kuosha sefuria kwenye migahawa ya Wahindi na kulipwa nusu ujira.Mim mwehu ndama kijana wa kitanzania niliwah kuandika uzi kuomba msaada kuhusu jinsi yakupata visa yakuingia nchini Sweden, na nashukuru Kwa maoni ya baadhi ya wadau nilifanikiwa kufuata ushauri nakufanikiwa kutia maguu ndani ya bara la uropa.
Lakini tangu nilipotoka bongo nakufika hapa ughaibuni huku kichwani nikiwa na lengo la kujilipua nakubaki huku moja Kwa moja maisha yamekua tofauti na nilivyo fikiria..
Ukizingatia mwenyeji wangu nayeye anaishi hapa kiujanja ujanja.
Niliomba visa ya wiki 3 na bahati nzuri baada yakufika hapa na nlipokaribia KUMALIZA muda wangu waliniongeza miezi mingine 3.
Lakini sasa sioni kinachobadilika katika maisha yangu zaidi yakupata huduma nzuri ya chakula nakuvuta hewa Safi hapa Uppsala .
Kiukweli maisha ya hapa yanazidi kuwa magumu Kwa upande wangu sababu nimejaribu kuanzisha mahusiano na mabinti, wanawake watu wazima Hadi vikongwe ili kusudi atakae jaa nioe ili niweze kupata makaratasi lakini nawao wamekuwa wagumu.
Sitaki kujivika status za kikimbizi maana nahisi ntaaribu kabisa mpangilio wote wa maisha yangu nakuitendea ubaya elimu yangu niliyoipata Kwa shida bongo land.
Nimekua mzururaji na cha ajabu hata zile KAZI za kubeba box nilizokua nazisikia zikisemwa Sana na wadau humu jf sizipati.
Kwa kifupi uchumi wangu umedidimia mara 100 zaidi ya hata nilivyokua bongo , mpaka najuta Kwa nini nilitumia pesa yangu nlioichanga Kwa shida kama nauli yakuja huku uzunguni pasipo na manufaa ya kiuchumi kwangu.
Hapa navyoongea nimeshawasilisha ombi la msaada wa nauli ya kurudi nyumbani katika kanisa naloSali hapa Uppsala.
Kwa kifupi narudi nyumbani na nikifika hapo Kwa mkuu jiwe naenda moja Kwa moja kijijini kwetu namanditi songea kulima.
Bye bye wabongo mliopo Sweden mim maisha yamenishinda narudi nyumbani.
View attachment 1389715View attachment 1389716
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi.Title ya uzi pamoja na contents vinareflect hiki: "Ulaya pamenishinda narudi bongo".
Halafu wewe ambaye huwa unajitambulisha kuwa upo Uswisi ukacomment hivi:
View attachment 1447001
Hadi hapo huoni kwamba 'ushamchanganya' msomaji wa threads zako unazosimuliaga kwamba upo Uswisi? Just by common sense, huuoni kabisa huo utatanishi hapo?
Naona ushaanza kupanic 😁.
-Kaveli-
Thubutu.
Ubalozi wa Tanzania huwa hawana msaada na watu wao