Ulaya pamenishinda narudi bongo

Ulaya pamenishinda narudi bongo

Status
Not open for further replies.
Mtu ambaye hata hela ya nauli kaenda kuomba achangiwe kanisani ndo huyo anayeambiwa akomae,


Ulikurupuka ndugu.
Binafsi nimeenda ulaya na kutembelea nchi 5 lakini sikushawishika kuongeza hata siku 2 tu za kuwa huko.

Kama umeona huiwezi Ulaya rudi kwenu, hujaua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mim mwehu ndama kijana wa kitanzania niliwah kuandika uzi kuomba msaada kuhusu jinsi yakupata visa yakuingia nchini Sweden, na nashukuru Kwa maoni ya baadhi ya wadau nilifanikiwa kufuata ushauri nakufanikiwa kutia maguu ndani ya bara la uropa.

Lakini tangu nilipotoka bongo nakufika hapa ughaibuni huku kichwani nikiwa na lengo la kujilipua nakubaki huku moja Kwa moja maisha yamekua tofauti na nilivyo fikiria..
Ukizingatia mwenyeji wangu nayeye anaishi hapa kiujanja ujanja.

Niliomba visa ya wiki 3 na bahati nzuri baada yakufika hapa na nlipokaribia KUMALIZA muda wangu waliniongeza miezi mingine 3.

Lakini sasa sioni kinachobadilika katika maisha yangu zaidi yakupata huduma nzuri ya chakula nakuvuta hewa Safi hapa Uppsala .

Kiukweli maisha ya hapa yanazidi kuwa magumu Kwa upande wangu sababu nimejaribu kuanzisha mahusiano na mabinti, wanawake watu wazima Hadi vikongwe ili kusudi atakae jaa nioe ili niweze kupata makaratasi lakini nawao wamekuwa wagumu.

Sitaki kujivika status za kikimbizi maana nahisi ntaaribu kabisa mpangilio wote wa maisha yangu nakuitendea ubaya elimu yangu niliyoipata Kwa shida bongo land.

Nimekua mzururaji na cha ajabu hata zile KAZI za kubeba box nilizokua nazisikia zikisemwa Sana na wadau humu jf sizipati.

Kwa kifupi uchumi wangu umedidimia mara 100 zaidi ya hata nilivyokua bongo , mpaka najuta Kwa nini nilitumia pesa yangu nlioichanga Kwa shida kama nauli yakuja huku uzunguni pasipo na manufaa ya kiuchumi kwangu.

Hapa navyoongea nimeshawasilisha ombi la msaada wa nauli ya kurudi nyumbani katika kanisa naloSali hapa Uppsala.

Kwa kifupi narudi nyumbani na nikifika hapo Kwa mkuu jiwe naenda moja Kwa moja kijijini kwetu namanditi songea kulima.

Bye bye wabongo mliopo Sweden mim maisha yamenishinda narudi nyumbani.

View attachment 1389715View attachment 1389716

Sent using Jamii Forums mobile app
Usituletee corona yako baki huko huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mim mwehu ndama kijana wa kitanzania niliwah kuandika uzi kuomba msaada kuhusu jinsi yakupata visa yakuingia nchini Sweden, na nashukuru Kwa maoni ya baadhi ya wadau nilifanikiwa kufuata ushauri nakufanikiwa kutia maguu ndani ya bara la uropa.

Lakini tangu nilipotoka bongo nakufika hapa ughaibuni huku kichwani nikiwa na lengo la kujilipua nakubaki huku moja Kwa moja maisha yamekua tofauti na nilivyo fikiria..
Ukizingatia mwenyeji wangu nayeye anaishi hapa kiujanja ujanja.

Niliomba visa ya wiki 3 na bahati nzuri baada yakufika hapa na nlipokaribia KUMALIZA muda wangu waliniongeza miezi mingine 3.

Lakini sasa sioni kinachobadilika katika maisha yangu zaidi yakupata huduma nzuri ya chakula nakuvuta hewa Safi hapa Uppsala .

Kiukweli maisha ya hapa yanazidi kuwa magumu Kwa upande wangu sababu nimejaribu kuanzisha mahusiano na mabinti, wanawake watu wazima Hadi vikongwe ili kusudi atakae jaa nioe ili niweze kupata makaratasi lakini nawao wamekuwa wagumu.

Sitaki kujivika status za kikimbizi maana nahisi ntaaribu kabisa mpangilio wote wa maisha yangu nakuitendea ubaya elimu yangu niliyoipata Kwa shida bongo land.

Nimekua mzururaji na cha ajabu hata zile KAZI za kubeba box nilizokua nazisikia zikisemwa Sana na wadau humu jf sizipati.

Kwa kifupi uchumi wangu umedidimia mara 100 zaidi ya hata nilivyokua bongo , mpaka najuta Kwa nini nilitumia pesa yangu nlioichanga Kwa shida kama nauli yakuja huku uzunguni pasipo na manufaa ya kiuchumi kwangu.

Hapa navyoongea nimeshawasilisha ombi la msaada wa nauli ya kurudi nyumbani katika kanisa naloSali hapa Uppsala.

Kwa kifupi narudi nyumbani na nikifika hapo Kwa mkuu jiwe naenda moja Kwa moja kijijini kwetu namanditi songea kulima.

Bye bye wabongo mliopo Sweden mim maisha yamenishinda narudi nyumbani.

View attachment 1389715View attachment 1389716

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hali iliyopo kaa tu huko ndg maana huku pia hali imebadilika kwa dharura ya kiafya baada mtanzania mwenzetu kupatokana na shida hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuipata sasa, siyo rahisi kama watu wasemavyo. Hizo kazi kweli zipo ila siyo rahisi kupata. Mfano kwa Sweden, ili upate kazi kama hizo unatakiwa uwe na kitu kinaitwa Personal number inayokuwezesha kupata Swedish National ID. Kukidhi vigezo ni mpaka uwe na Residence permit inayokuwezesha kuishi kuanzia mwaka mmoja na kuendelea. Siyo VISA ya miezi mitatu 3 tu.

Halafu Sweden wanatumia lugha yao ya Kiswidi(Swedish). Ili upate kazi ya kuwachambisha hao wazee unaosema unatakiwa uwe unafahamu Kiswid. Sasa mtu aliyekaa miezi 3 ataweza vipi kuzungumza Kiswid aweze kuwasiliana na hao wazee? Maana siyo tu swala la kuwachmbisha; ila pia unatakiwa kuwalea na kuwatunza pia.

Ukiwa home unaona Ulaya yote ukishafika tu mambo yatakuwa poa; ila mambo si rahisi kama inavyozungumzwa humu mitandaoni.
Ukanyage ulaya tena huko mbele useme unarudi kulima, tafuta hata kazi ya upishi au kuosha wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mim mwehu ndama kijana wa kitanzania niliwah kuandika uzi kuomba msaada kuhusu jinsi yakupata visa yakuingia nchini Sweden, na nashukuru Kwa maoni ya baadhi ya wadau nilifanikiwa kufuata ushauri nakufanikiwa kutia maguu ndani ya bara la uropa.

Lakini tangu nilipotoka bongo nakufika hapa ughaibuni huku kichwani nikiwa na lengo la kujilipua nakubaki huku moja Kwa moja maisha yamekua tofauti na nilivyo fikiria..
Ukizingatia mwenyeji wangu nayeye anaishi hapa kiujanja ujanja.

Niliomba visa ya wiki 3 na bahati nzuri baada yakufika hapa na nlipokaribia KUMALIZA muda wangu waliniongeza miezi mingine 3.

Lakini sasa sioni kinachobadilika katika maisha yangu zaidi yakupata huduma nzuri ya chakula nakuvuta hewa Safi hapa Uppsala .

Kiukweli maisha ya hapa yanazidi kuwa magumu Kwa upande wangu sababu nimejaribu kuanzisha mahusiano na mabinti, wanawake watu wazima Hadi vikongwe ili kusudi atakae jaa nioe ili niweze kupata makaratasi lakini nawao wamekuwa wagumu.

Sitaki kujivika status za kikimbizi maana nahisi ntaaribu kabisa mpangilio wote wa maisha yangu nakuitendea ubaya elimu yangu niliyoipata Kwa shida bongo land.

Nimekua mzururaji na cha ajabu hata zile KAZI za kubeba box nilizokua nazisikia zikisemwa Sana na wadau humu jf sizipati.

Kwa kifupi uchumi wangu umedidimia mara 100 zaidi ya hata nilivyokua bongo , mpaka najuta Kwa nini nilitumia pesa yangu nlioichanga Kwa shida kama nauli yakuja huku uzunguni pasipo na manufaa ya kiuchumi kwangu.

Hapa navyoongea nimeshawasilisha ombi la msaada wa nauli ya kurudi nyumbani katika kanisa naloSali hapa Uppsala.

Kwa kifupi narudi nyumbani na nikifika hapo Kwa mkuu jiwe naenda moja Kwa moja kijijini kwetu namanditi songea kulima.

Bye bye wabongo mliopo Sweden mim maisha yamenishinda narudi nyumbani.

View attachment 1389715View attachment 1389716

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi mapema balozi wako yuko huku hana jipya ni kuzurura tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana, angalau umethubutu kukiri mapema kuwa ughaibuni hapajakufaa, wazamiaji wengine hawasemi lolote hukomaa kibishi wakati wakiwa na maisha magumu tu. Mkataa kwao ni mtumwa, we rudi tu home ilimradi usije kutuongezea Corona hapa nyumbani.

Kutamani kwako kurudi hakutukatishi tamaa sie wengine wenye ndoto za kuja ughaibuni, tutakuja tu! Maana hapa maisha sio kabisa. Sie hatuamini kama huko ni pagumu, labda ni fikra zako za kupambana zimefikia ukomo. Hao mademu na vibibi ulivyotongoza ndani ya miezi mitatu ni vingapi!? Yaani ilitoka bongo, weapon yako kubwa ikiwa ni mb*o... Na haijakupa matumaini yoyote ndani ya kipindi cha miezi mitatu! Uliamini wanaume walioko huko wote ni vibamia, kwamba umekwenda kuwakomboa kina mama na vibibi kwa kutofikishwa Uhuru peak!? Acha uboya mwana!! Komaa!! Mawazo ya kurudi bongo ni uchuro kabisa, bora hata awamu hii ingekuwa inafika ukingoni. Ukirudi utajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii comment yako hiyo afya ya pili imenichekesha Hadi nimelia....wewe ni sheedah
 
Hahaha Mkuu hiyo ya weapon yake n oomb dah umetisha alijua dhakar ndio msaada alitaka kutuwakilsha kimataifa lakn ndio hvyo mambo magumu
Pole sana, angalau umethubutu kukiri mapema kuwa ughaibuni hapajakufaa, wazamiaji wengine hawasemi lolote hukomaa kibishi wakati wakiwa na maisha magumu tu. Mkataa kwao ni mtumwa, we rudi tu home ilimradi usije kutuongezea Corona hapa nyumbani.

Kutamani kwako kurudi hakutukatishi tamaa sie wengine wenye ndoto za kuja ughaibuni, tutakuja tu! Maana hapa maisha sio kabisa. Sie hatuamini kama huko ni pagumu, labda ni fikra zako za kupambana zimefikia ukomo. Hao mademu na vibibi ulivyotongoza ndani ya miezi mitatu ni vingapi!? Yaani ilitoka bongo, weapon yako kubwa ikiwa ni mb*o... Na haijakupa matumaini yoyote ndani ya kipindi cha miezi mitatu! Uliamini wanaume walioko huko wote ni vibamia, kwamba umekwenda kuwakomboa kina mama na vibibi kwa kutofikishwa Uhuru peak!? Acha uboya mwana!! Komaa!! Mawazo ya kurudi bongo ni uchuro kabisa, bora hata awamu hii ingekuwa inafika ukingoni. Ukirudi utajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume legelege pumbafu kabisa, eti mkataa kwao mtumwa, hizi saying za kimasikini hizi hazina maana yoyote...yeye peke yake ndio kashindwa maisha, hajakomaa, wiki 3 maisha yamekushinda? Pumbafu
Pole sana, angalau umethubutu kukiri mapema kuwa ughaibuni hapajakufaa, wazamiaji wengine hawasemi lolote hukomaa kibishi wakati wakiwa na maisha magumu tu. Mkataa kwao ni mtumwa, we rudi tu home ilimradi usije kutuongezea Corona hapa nyumbani.

Kutamani kwako kurudi hakutukatishi tamaa sie wengine wenye ndoto za kuja ughaibuni, tutakuja tu! Maana hapa maisha sio kabisa. Sie hatuamini kama huko ni pagumu, labda ni fikra zako za kupambana zimefikia ukomo. Hao mademu na vibibi ulivyotongoza ndani ya miezi mitatu ni vingapi!? Yaani ilitoka bongo, weapon yako kubwa ikiwa ni mb*o... Na haijakupa matumaini yoyote ndani ya kipindi cha miezi mitatu! Uliamini wanaume walioko huko wote ni vibamia, kwamba umekwenda kuwakomboa kina mama na vibibi kwa kutofikishwa Uhuru peak!? Acha uboya mwana!! Komaa!! Mawazo ya kurudi bongo ni uchuro kabisa, bora hata awamu hii ingekuwa inafika ukingoni. Ukirudi utajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha kitu cha ajabu sana..
Wakati kuna watu wanaamini bongo huwezi kutoboa, kuna watu wanatoboa hapahapa bongo na kwenda Bahamas, Dubai nk kula bata..

Maisha haya kanuni, njia uliyoitumia kutoboa sio njia anayoweza kutumia mwingine akatoboa, Bongo bado fursa zipo na zinahitaji vichwa na uelewa kuzifikia na kuzifanikisha. Kiukweli Bongo hutakiwi kuwa legelege kufikia mafanikio bali ujasiri na mbinu tofauti tofauti... Bakhresa, Mo-Dewji, Manji, Rostam, Marehemu Mufuruki, Marehemu Mengi, nk hawa wote utajiri wameupatia humu humu Bongo tena wengine kama Rostam wametobolea Igunga pale..
 
Ukizunguka mitaa ya Gerezani, Tabata dampo, Temeke nk kwa hapo Dar utaona namna vijana wanavyojituma na kusawazisha maisha,

Pale Mbeya Tunduma na mbeya mjini utaona vijana wanavyopambana na kutoboa maisha kibabe... Kule Mwanza, Geita, Kahama, Katoro, na ukanda mzima wa lake zone wapo vijana wanamiliki hela kwa kupambana usiku na mchana ziwani na machimboni.. Arusha kuanzia Mererani mpaka pale town vijana wanakaza na kumiliki hela kwa kuzungusha mashimboni na sehemu mbalimbali..

Tuna tatizo la baadhi ya vijana kupenda mteremko na maisha ya ndoto, life is the process not just the night dreams..ukifanya masikhara ukajifanya unataka kuruka stages unaweza kuja kusup au kudharilisha utu wako ili ufanikishe maisha yako..
 
  • Thanks
Reactions: amu
Wanaume legelege pumbafu kabisa, eti mkataa kwao mtumwa, hizi saying za kimasikini hizi hazina maana yoyote...yeye peke yake ndio kashindwa maisha, hajakomaa, wiki 3 maisha yamekushinda? Pumbafu

Sent using Jamii Forums mobile app
Legelege wa kwanza ni wewe ambaye husomi comment hadi mwisho. Hapo ulipo hata ofisi za migration hujui zilipo, umekomaa na tecno yako kuwasema watu vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha Mkuu hiyo ya weapon yake n oomb dah umetisha alijua dhakar ndio msaada alitaka kutuwakilsha kimataifa lakn ndio hvyo mambo magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanajiamini kwa kut*mb* hadi wanasaka passport na viza kwenda kuonyesha umwamba kwa vibibi vya kizungu! Huyu bahari sio kabisa yaani! Miezi siku tisini tayari ushatamani bongo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Komaa usikate tamaa mapema! Maisha ya nje mwanzoni yanakua magumu sana kwa sababu ya upweke, lugha na pia system ya maisha ni tofauti na tulivyozoea bongo.
Lazima upitie ubatizo wa mwaka mmoja kwanza ili uondoe ukurutu wa kibongo na mazoea ya maisha ya Kitanzania.
Hiki kipindi cha mpito huwa ni kigumu sana ila ukikomaa na kushinda then huko mbele mambo yanajipa yenyewe mpaka utashangaa imekuaje nimeweza.
Usikate tamaa jombaa! Kaza.
Usikubali kurudi nyuma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom