charleslee
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 408
- 200
Mtuonee huruma nyie madem wa kitaa lkn madent hatuwaachi
Attention seeker wa mitandao? Sidhani kama ndio waliomtwisha huo mzigo! Hakuna mwalimu anayebeba madaftari akiwa kazini ? Huyo yawezekana akawa monitor kavaa suti !Nashindwa kujizuia kuwa na maoni tofauti.
1.Hiyo picha imepigwa na attention seekers wa mitandao. Katika hali ya kawaida hakuna mwalimu anayebeba madaftari kichwani akiwa kazini. Class monitors wafanye kazi gani?
2.Kuna kitu gani hapo kinachodhihirisha kuwa huyo mwalimu ana maisha magumu kwenye hiyo picha? Hakuna.
3.Let us be realistic. Hivi mshahara wa walimu una tofauti gani na wafanyakazi wengine waliopo general scale?
Ni kweli uyasemayo!Nashindwa kujizuia kuwa na maoni tofauti.
1.Hiyo picha imepigwa na attention seekers wa mitandao. Katika hali ya kawaida hakuna mwalimu anayebeba madaftari kichwani akiwa kazini. Class monitors wafanye kazi gani?
2.Kuna kitu gani hapo kinachodhihirisha kuwa huyo mwalimu ana maisha magumu kwenye hiyo picha? Hakuna.
3.Let us be realistic. Hivi mshahara wa walimu una tofauti gani na wafanyakazi wengine waliopo general scale?
Izo ndio kazi za walimu!Attention seeker wa mitandao? Sidhani kama ndio waliomtwisha huo mzigo! Hakuna mwalimu anayebeba madaftari akiwa kazini ? Huyo yawezekana akawa monitor kavaa suti !
Wanakua wanapoza machungu!Ukiwakuta bar matcha huwa wanajitutumua utadhani Dume la Nyani acha wachunwe tyu maana hakuna namna
Walimu sura zao kama wanapunjwa lakini wanakunywa pombe mpaka wanalala bar, badilisheni lifestyle wanawake watawapita pembeni.
Washuleni au baani?mwalimu anapata mwanamke kiwepesi sana.
teacher mwepesi sana ku-socialize popoteWashuleni au baani?
Hata wanyonge anawasema tu mdomoni lkn kwa vitendo kwasusa kabisaaa......moja wapo ni wa kageraItakua si kweli labda anasingiziwa!
mbona kawasahau mapema ivo
Pombe zinawasaidia kuondoa uchovu na stress za kazi zao …Walimu sura zao kama wanapunjwa lakini wanakunywa pombe mpaka wanalala bar, badilisheni lifestyle wanawake watawapita pembeni.
Wale nini jamani, acheni na wao wafaidi hivyo vi bikra kadhaa wanavyokutana navyo katika eneo lao la kazi. Kila mtu anakula katika eneo lake la kazi.
mkuu hayo ndio marupurup ya mwalimu baada ya kazi nzito!
Miaka 30 inakuhitaji wewe!Wale nini jamani, acheni na wao wafaidi hivyo vi bikra kadhaa wanavyokutana navyo katika eneo lao la kazi. Kila mtu anakula katika eneo lake la kazi.
Hahahaaaa angalieni kwa jicho la piliLazima tu achunwe maana hakuna namna