el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,064
Umesahau kuwa at some points huwa anaifadhili serikali ikiwa imepigika
Kuna siku gani aliwahi kuifadhili serikali?
Umesahau kuwa at some points huwa anaifadhili serikali ikiwa imepigika
niweke nyaraka kwani wewe ni TRA?
Njoo na facts mkuu vinginevyo utakuwa ndo ule wivu wa kinalii alosemaga rais aliyepita
Sasa mada umeleta ya nini kama sisi sio TRA?Unataka tujadili umbea mkuu?Weka supporting documents
Kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.
Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.
Karibuni wakuu.
Udini tu ndiyo unawasumbua hakuna lolote. Maana watu walianza kuyashambulia yale maziwa na sasa wanakuja na hili la kodi.
Mkuu mbona kila kitu kipo wazi hapa
Kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.
Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.
Karibuni wakuu.
ni kweli halipi kodi inayopaswa ukitaka kujua halipi kodi linganisha utajiri wake na kodi anayolipa nchi hii ni vigumu kuendelea kwa sababu tunawasujudia wakwepaji kodi
sasa mbona Umekuja kuishtaki JF,kwani JF ni TRA ?
kodi hiyo kaanza kukwepa lin??
ha ha ha ha
weka ushahid wako tuone ukweli wa hicho unachokisema
MITANZANIA BANA,,WEWE WAKWEPA KOJI WA NCHI HII HUWAJUI??
BADALA YA KUKAA NA KUSHUKURU KWA WAZAWA KAMA HAWA KUPATA MAFANIKIO YA KUSAIDIA TAIFA HILI IKIWEMO NA AJIRA WEWE UNAPIKA MAJUNGU
UTAPIKA SANA MAJUNGU NA MWISHO UTAJIPIKA WEWE MWENYEWE.
:heh: :heh: :heh: :rockon:
Naam kushuka na uzi kama huu unatakiwa ushuke na data zilizoenda shule vinginevyo utabaki unapwayapwaya. Mkuu kama una data zimwage hapa watu watiririke.
kodi hiyo kaanza kukwepa lin??
ha ha ha ha
weka ushahid wako tuone ukweli wa hicho unachokisema
MITANZANIA BANA,,WEWE WAKWEPA KOJI WA NCHI HII HUWAJUI??
BADALA YA KUKAA NA KUSHUKURU KWA WAZAWA KAMA HAWA KUPATA MAFANIKIO YA KUSAIDIA TAIFA HILI IKIWEMO NA AJIRA WEWE UNAPIKA MAJUNGU
UTAPIKA SANA MAJUNGU NA MWISHO UTAJIPIKA WEWE MWENYEWE.
:heh: :heh: :heh: :rockon: