Ukwepaji kodi wa Bhakressa!

Ukwepaji kodi wa Bhakressa!

Lete ushahidi wa nyaraka ni mzigo gani umepita bila kulipia TRA ili tukubaliane na wewe juu ya haya uyasemayo
 
Ungeweka vithibitisho vya ukwepaji ingekuwa vizuri ila kwa hapa tutaona kama ni porojo,ukwepaji wa kodi % kubwa ya wata-tz tunakwepa kodi.
 
Kwa matusi yako je akileta ushaidi utamwambiaje?intarahamwe

swissme

teh teh teh! labla akaongee na mzee Azam ampe document! na wew unataka tukubaliane na jamaa kuwa azam alipi kodi wakati hana vithibitisho unataka watu wajadili umbea hapa!

usini quote tena maana sitakujibu
 
teh teh teh! labla akaongee na mzee Azam ampe document! na wew unataka tukubaliane na jamaa kuwa azam alipi kodi wakati hana vithibitisho unataka watu wajadili umbea hapa!

usini quote tena maana sitakujibu
Kalipe kodi

swissme
 
Kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.

Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.

Karibuni wakuu.
​Nonsense!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hii ni hoja kubwa na namuonea huruma aliyeileta.
Hivi unadhani kama ushahidi/documents wa stanibic hadi sasa haujapatikana, hapa utaweza!?
 
issue ni kwamba analipa kodi kiasi gani? kwa nn hatujui wanalipa kodi kiasi gani? kwa mm sio bakhresa tu bali wafanyabiashara wote wazawa wanalipa kodi kiasi gani? urafiki wa rais na wafanyabiashara ndio unazorotesha makusanyo ya kodi nchi hii.
 
teh teh teh! labla akaongee na mzee Azam ampe document! na wew unataka tukubaliane na jamaa kuwa azam alipi kodi wakati hana vithibitisho unataka watu wajadili umbea hapa!

usini quote tena maana sitakujibu
Msamehe bana,swiss me ni mmoja wa vijana wetu waliovunja ungo hivi karibuni,kwahiyo bado akili yake haijakomaa sana,twendeni nao taratibu jamani.
 
issue ni kwamba analipa kodi kiasi gani? kwa nn hatujui wanalipa kodi kiasi gani? kwa mm sio bakhresa tu bali wafanyabiashara wote wazawa wanalipa kodi kiasi gani? urafiki wa rais na wafanyabiashara ndio unazorotesha makusanyo ya kodi nchi hii.
Uko sehemu gani nikuletee mafaili ya walipa kodi na kiasi wanacholipa?
 
Sasa mada umeleta ya nini kama sisi sio TRA?Unataka tujadili umbea mkuu?Weka supporting documents

Lisemwalo lipo kama halipo laja,wtz ni mabingwa wa kubisha kila kitu tusimtete mtu mwacheni akanushe mwenyewe muhusika.
 
Tanzania kuna wanaume wachache sana,mwanaume mzima unaorojeka,ndo nn ulichoandka?
 
kodi hiyo kaanza kukwepa lin??

ha ha ha ha

weka ushahid wako tuone ukweli wa hicho unachokisema

MITANZANIA BANA,,WEWE WAKWEPA KOJI WA NCHI HII HUWAJUI??

BADALA YA KUKAA NA KUSHUKURU KWA WAZAWA KAMA HAWA KUPATA MAFANIKIO YA KUSAIDIA TAIFA HILI IKIWEMO NA AJIRA WEWE UNAPIKA MAJUNGU

UTAPIKA SANA MAJUNGU NA MWISHO UTAJIPIKA WEWE MWENYEWE.

:heh: :heh: :heh: :rockon:

damu za watu wa mtwara bado zinakulilia msaliti.... unapataje usingizi??
 
kodi hiyo kaanza kukwepa lin??

ha ha ha ha

weka ushahid wako tuone ukweli wa hicho unachokisema

MITANZANIA BANA,,WEWE WAKWEPA KOJI WA NCHI HII HUWAJUI??

BADALA YA KUKAA NA KUSHUKURU KWA WAZAWA KAMA HAWA KUPATA MAFANIKIO YA KUSAIDIA TAIFA HILI IKIWEMO NA AJIRA WEWE UNAPIKA MAJUNGU

UTAPIKA SANA MAJUNGU NA MWISHO UTAJIPIKA WEWE MWENYEWE.

:heh: :heh: :heh: :rockon:

Hii thread sasa hivi itaharibika. Ngoja Nyakageni na Ishmael waje
 
Last edited by a moderator:
kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa bakhresa and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa ccm wanaonufaika na huyu mfanyabiasha. Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa. Karibuni wakuu.
umerogwa ww si bure,,,,tuwekee ushaidi km usemacho ni kweli,,,udini unakusumbua nais
 
kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa bakhresa and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa ccm wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.

Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.

Karibuni wakuu.

umerogwa ww si bure,,,na udini unakusumbua
 
Ndio bakhresa halipi kodi sasa unaamuaje huna ubavu wa kumfanya lolote pimbi wee @lukelo sakafu
 
Back
Top Bottom