ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Mwacheni anajifurahisha huyo angetaka kujua kama halipi kodi angeenda ofisini kwake kufanya research sio kutuletea mbovu hapa
Kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.
Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.
Karibuni wakuu.
ndiyo shida yenu wapuuz kama nyinyi
mkishinda madarasani KUKARIRI HIZO TAXATION ZENU BASI MNADHANI MNAWEZA KUJA HUMU KUDHARAU KILA MTU
SO WEWE KUJUA TAX EVASION & AVOIDANCE NDIYO UNAJIONA WEWE NDIE MJUVI SANA??
KUJUA KWAKO TAX HEAVEN AND INCOME TAX BASI NDIYO UKO JUU SIYO??
STUPID DAUGHTER OF A BIACH,,SIKU ZINGINE USHIKE ADABU ZAKO
HIVYO VIDUDU VYAKO ULIVYOKARIRI NENDA KAJADILI NA UNDERGRADUATE WENZAKO,,WEW UMPE NAN HOMEWORK KIHIYO.
YANI WEWE SIO TUH KUBISHANA BALI PIA HATA KUWEPO KATIKA FIKRA NA TENSIONS ZANGU HAUPO
ni kweli halipi kodi inayopaswa ukitaka kujua halipi kodi linganisha utajiri wake na kodi anayolipa nchi hii ni vigumu kuendelea kwa sababu tunawasujudia wakwepaji kodi
Hahaha mpuuzi at his best, nimekuuliza hivyo ili ujue kwamba makampuni makubwa ya nje hayafanyi tax evasion bali tax avoidance, ni kitu sahihi kabisa katika kufanya kibiashara, MBA ninayo Mungu akijaaalia 2017 nakamata PhD
huyu bepari kwanza hastahili kuwepo nafasi yoyote kewnye uongozi kama bungeni. watu kama mohamed dewji wanaingia bungeni kulinda masilahi yao ya kibepari na ni chanzo kikubwa cha rushwa. bungeni penyewe dewji haonekani kabisa kuwawakilisha watu waliomchagua kwani ubunge ni kwa faida yake binafsi. watu wa singida acheni ujinga. mkihongwa pilau na mataptap mnachagua mabwanyenye wahindi na waarabu kuendeleza unyonyaji wao. fungueni macho mnatia aibu.Kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.
Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.
Karibuni wakuu.
Jf imevamiwa ! Hujui kitu unaweza uongo hapa watu wasome nenda kwenye udaku waliko Facebook!
Juzi ulikuja na maziwa Ya bakresa haya fai,! Leo kodi ngoja kesho utakuja na bakresa kafanya nini?
Hebu tuletee post za msingi siyo uzishi !?
Tatizo nini na bakresa ktk walipa kodi wakubwa bakresa ni mmoja wao.
Kwa mtizamo wangu mimi basi ni kama kweli anakwepa kodi basi siyo mbaya coz ni mzalendo anawekeza nyumbani hapeleki India,Canada au uswiss kama wengine
huyu bepari kwanza hastahili kuwepo nafasi yoyote kewnye uongozi kama bungeni. watu kama mohamed dewji wanaingia bungeni kulinda masilahi yao ya kibepari na ni chanzo kikubwa cha rushwa. bungeni penyewe dewji haonekani kabisa kuwawakilisha watu waliomchagua kwani ubunge ni kwa faida yake binafsi. watu wa singida acheni ujinga. mkihongwa pilau na mataptap mnachagua mabwanyenye wahindi na waarabu kuendeleza unyonyaji wao. fungueni macho mnatia aibu.
kodi kubwa inayokwepa na makanisa ya kisasa,Gwajima,Mwingira,Kakobe etc wanaingiza tuu pesa bila ya kulipa kodiKuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.
Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.
Karibuni wakuu.
Kuna wapumbavu walimpinga Sana mleta madam hii naona sahvi wamebakia kuvaaa pampers tu...akiwemo...the big showSasa hivi analipa?
Makafiri mmetukalia kooni!Kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.
Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.
Karibuni wakuu.
Bei gani= Kiasi ganimkuu kwani wewe azam anakulipa bei gani?
Mkuu hiyo ni fursa ukienda na nyaraka TRA utapewa donge nono la utonyaji, ila si vibaya ukaanza na vitonyeshoniweke nyaraka kwani wewe ni TRA?