Wewe ni mchawi, hata kama hurogi, utakuwa na akili za kichawi.
Vv
hii comment yako inaonekana we ndo mchawi
Wewe ni mchawi, hata kama hurogi, utakuwa na akili za kichawi.
Vv
damu za watu wa mtwara bado zinakulilia msaliti.... unapataje usingizi??
Kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.
Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.
Karibuni wakuu.
Ndio bakhresa halipi kodi sasa unaamuaje huna ubavu wa kumfanya lolote pimbi wee @lukelo sakafu
Ndio bakhresa halipi kodi sasa unaamuaje huna ubavu wa kumfanya lolote pimbi wee @lukelo sakafu
kwani una id ngapi?
Tuliza mshono
Niondolee kidomo domo
Mambo ya Mtwara ni yetu sisi wewe yanakuhusu nini??
Mademu wa siku hizi ndivyo mlivyoo Yani Mtu akiwa na kias cha mboga tuh hata hamkatai
Hali ngumuu,,,usawa unakaba,,
Utakuwa umetumwa na Reginald Mengi wewe. Huu ni wivu wa kike
nilikua nakukumbushia tu, mshono umeshapona, polisi walinibutua kwelikweli
Vipi lakini, ile pesa uliyohongwa si imeshakata??
Usaliti kaziii
Mkuu kuna cku utakubaliana nami
Kwa matusi yako je akileta ushaidi utamwambiaje?intarahamwe
swissme
issue ni kwamba analipa kodi kiasi gani? kwa nn hatujui wanalipa kodi kiasi gani? kwa mm sio bakhresa tu bali wafanyabiashara wote wazawa wanalipa kodi kiasi gani? urafiki wa rais na wafanyabiashara ndio unazorotesha makusanyo ya kodi nchi hii.
Ngedere
Nipe sura yako nimtishie mwanangu..!!
Wewe unadhani unavyonunulika wewe kirahisi unadhani kila mtu njaa kali kama wewe siyo.
Wanga mnapenda sana kuyapigia RAMLI MAISHA YA WATU
WE UNANIJUA MIMI HADI UFIKIE HATUA YA KUCHAWIA MAISHA YANGU??
ETI NIMENUNULIKA,,STUPID,,KUNUNULIKA NA NANI SASA NA KWA BIASHARA GANI?
ETI USALITI,,USALITI WA KUMSALITI NANI??