mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,900
- 2,100
Wewe mtabiri Mzuri Sasa amekuwa Konda wa mkoa wa DAR.Konda wa viatu ukuu wa wilaya haujakutosha utafanya yapi tena upewe we mkoa?
Tabiri tena.
Wewe mtabiri Mzuri Sasa amekuwa Konda wa mkoa wa DAR.Konda wa viatu ukuu wa wilaya haujakutosha utafanya yapi tena upewe we mkoa?
Kwa sababu hawana ubia Na wananchi.Tizama CRDB Ina ubia Na makampuni Na wananchi kila kitu kiko wazi.Makampuni mengi binafsi huwa hawaweki financials zao kwy website zao,wanaficha nini?haya haya makampuni makubwa makubwa inabidi yalazimishwe ikibidi.Cc Makonda