Ukwepaji kodi wa Bhakressa!

Ukwepaji kodi wa Bhakressa!

Mod tunaomba huu uzi ufutiliwe mbali! hamna ushahidi wa kutosha kusuport hii thread kuendelea kuwepo hapa!
 
Weka data zote hapa tujadili vinginevyo acha majungu
Jambo kubwa namna inafaa uje na maushahidi ya nyaraka mbalimbali na makolombezo kibao sio unapost habari kimbea mbea
 
Yaani inatia wasiwasi kweli, inakuwaje mtu kajiunga leo ya nne tayari keshapost 340, hii inaonyesha ya kuwa watu wengine wakisikia jamii forum basi wanaona wanaweza kupost pumba zozote zile, tuwe makini hapa ni kwa ajili ya kuelimishana sio kwa ajili ya kuleta vitu bila ya kuweka ushahidi atii nimesikia nasikia. Tukuwe tuwe na maendeleo jamani ayiii
 
Onyesha uzalendo nenda nyumbani kwa BAKHRESA ukadai kodi.....haiwezekani asilipe kodi......
 
mkuu leta facts ili tujue kama ni kweli. ila unanipa waswas umejiunga juz juz tu una cku 3 tu umeshapost zaidi ya 300 humu???? average ya posts 100/day, unatisha
 
Yaani inatia wasiwasi kweli, inakuwaje mtu kajiunga leo ya nne tayari keshapost 340, hii inaonyesha ya kuwa watu wengine wakisikia jamii forum basi wanaona wanaweza kupost pumba zozote zile, tuwe makini hapa ni kwa ajili ya kuelimishana sio kwa ajili ya kuleta vitu bila ya kuweka ushahidi atii nimesikia nasikia. Tukuwe tuwe na maendeleo jamani ayiii
Kama ana nyuzi 300 jamaa anatisha,ila ukifuatilia nyuzi zake utajua misheni yake humu ni nini.
 
mkuu leta facts ili tujue kama ni kweli. ila unanipa waswas umejiunga juz juz tu una cku 3 tu umeshapost zaidi ya 300 humu???? average ya posts 100/day, unatisha

Kila siku ana post' post 100 jamaa anatakiwa aandikwe kwenye kitabu cha watu wapumbavu waliovunja record za kipumbavu kama huyu!
 
Yaani inatia wasiwasi kweli, inakuwaje mtu kajiunga leo ya nne tayari keshapost 340, hii inaonyesha ya kuwa watu wengine wakisikia jamii forum basi wanaona wanaweza kupost pumba zozote zile, tuwe makini hapa ni kwa ajili ya kuelimishana sio kwa ajili ya kuleta vitu bila ya kuweka ushahidi atii nimesikia nasikia. Tukuwe tuwe na maendeleo jamani ayiii

Do you know the meaning of forum?kalipe kodi.

swissme
 
Daaa hizi njaa hizi kwa kweli ni shida kweli kweli.......!
 
Kila siku ana post' post 100 jamaa anatakiwa aandikwe kwenye kitabu cha watu wapumbavu waliovunja record za kipumbavu kama huyu!
Kwa matusi yako je akileta ushaidi utamwambiaje?intarahamwe

swissme
 
anachoandika hajui jinsi wenye viwanda wanavyokwepa kulipa kodi mumsamehe kiumbe wa mungu
 
Back
Top Bottom