sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,019
Kubwa zaidi ni kukwepa kimfumo, yaaani total legalized, kwanza ni bidhaa Zote za soda na juice hazina kodi, hii off course imewasaidia pia coca cola na Pepsi ambao hawakuwa walengwa, pili, yeye Ndiye pekee anayeweza kuleta ngano kutoka Zambia kama sikosei tax free, tatu, ni kuwa bidhaa yeyote inayofanana na bidhaa zake kutoka nje kama juices zinakodi kubwa sana , despite the fact kuwa juizi zake zinatumia concentrate kutoka njeKuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.
Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.
Karibuni wakuu.