The weekend
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 423
- 832
Usiu
Usiunyee mkono unaokulisha, hzo kodi zenyewe zinazokusanywa zinapigwa balaa na hao viongozi wa serikaliNiko kampuni moja ya....Kuna ishu wanazifanya kwaujumla wake mm cfurahishwi na wanafofanya kwa kutuelekeza cc maafisa wake jinsi ya kukwepa Kodi. Iko siku niatawazinguaa wacha nikuzannye data za kutosha nitawapelekeaa tra niwatinye jinsi mizigo inatoka pale kinyemela Hadi kwamlaji bila kutolewaa risiti halali.