Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Habari,
Wakuu wafanyabiashara wanakwepa sana kodi kwa kutotoa risiti na kutoa risiti pungufu ya mali iliyonunuliwa na wanunuzi hawadai risiti.
Ukidai risiti muuzaji anadiriki kusema eti risiti ni kwa wanunuzi wa jumla, rejareja hawatoi.Saa nyingine unaambiwa mashine imeharibika .
Kingine, ukidai risiti utaambiwa bei tofauti na ile ya kununua bila risiti lengo ni ku-discourage usidai risiti.
Bila kodi hatuwezi kuendelea kama nchi, TRA waje na mfumo wa kulipa kodi mapema kuliko kutegemea wanunuzi ambao hata hawajali, yaani matangazo ya ukiuza toa lisiti na ukinunua dai risiti hayajasaidia lolote.
Lakini pia vyombo vya law enforcement bado havitimizi wajibu wake ipasavyo,kama lisiti zingetolewa inavyostahiki TRA na Serikali wangekusanya pesa nyingi sana.
Wakuu wafanyabiashara wanakwepa sana kodi kwa kutotoa risiti na kutoa risiti pungufu ya mali iliyonunuliwa na wanunuzi hawadai risiti.
Ukidai risiti muuzaji anadiriki kusema eti risiti ni kwa wanunuzi wa jumla, rejareja hawatoi.Saa nyingine unaambiwa mashine imeharibika .
Kingine, ukidai risiti utaambiwa bei tofauti na ile ya kununua bila risiti lengo ni ku-discourage usidai risiti.
Bila kodi hatuwezi kuendelea kama nchi, TRA waje na mfumo wa kulipa kodi mapema kuliko kutegemea wanunuzi ambao hata hawajali, yaani matangazo ya ukiuza toa lisiti na ukinunua dai risiti hayajasaidia lolote.
Lakini pia vyombo vya law enforcement bado havitimizi wajibu wake ipasavyo,kama lisiti zingetolewa inavyostahiki TRA na Serikali wangekusanya pesa nyingi sana.