Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Wanajamii,
hii ndio hali halisi ya maisha ya ndugu, jamaa na marafiki zetu waliopo vijijini ambao hivi karibuni Serikali yao itamlipa muwekezaji (Dowans Tanzania Ltd) deni linalotokana na uzalishaji wa umeme (ambao bibi huyu hajawahi kuuona) kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 95...!
View attachment 20622
hii ndio hali halisi ya maisha ya ndugu, jamaa na marafiki zetu waliopo vijijini ambao hivi karibuni Serikali yao itamlipa muwekezaji (Dowans Tanzania Ltd) deni linalotokana na uzalishaji wa umeme (ambao bibi huyu hajawahi kuuona) kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 95...!
View attachment 20622