nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Kighoma Ally Malima aliiba mamilioni ya Tsh wakati wa Utawala wa Mzee Mwinyi.
Mzee Mwinyi alipostushwa kuwa Hazina imefujwa akamuondoa mwizi yule, akampeleka Jakaya Mrisho Kikwete katika Wizara ya Fedha , kukafanyika Boonge la ukaguzi, wakafukuzwa na maofisa kumi na mbili.
Mzee Mwinyi alipostushwa kuwa Hazina imefujwa akamuondoa mwizi yule, akampeleka Jakaya Mrisho Kikwete katika Wizara ya Fedha , kukafanyika Boonge la ukaguzi, wakafukuzwa na maofisa kumi na mbili.