Ukweli wa kifo cha Kighoma Ally Malima ni upi?

Kama mtaendelea kutafua hivi viji-sababu visivyo na mshiko mtaendelea kuwa nyuma ki-ELIMU milele. Ninajua ndivyo mnavyodanganywa huko misikitini.

From the horses mouth, mimi nilifanya mitihani wakati huo Waziri wa Elimu akiwa Jackson Makweta, Rais akiwa Julius Nyerere na tulitumia NAMBA katika mitihani yetu.

Sasa hili la kwamba Prof. Kighoma Malima ndiye aliyeleta mfumo na NAMBA kwa wahitimu linatoka wapi?! FYI, wakati huo Kighoma Malima alikuwa Lecturer UDSM akifundisha economics, hata SIASA alikuwa hajaingia. Ingawa sio vizuri kumsema marehemu lakini Prof. Kighoma Malima alikuwa MDINI sana kiasi cha kujenga ka-msikiti pale Wizara ya ELIMU. Sipati picha kama Jackson Makweta angejenga ka-kanisa wizara ya ELIMU sijui kelele zingekuwa je?
Malima alianza kuingia ktk siasa kwanza kisha akenda kusoma hilo ulijue halafu huo msikiti ni upi unaozungumzia yaan mtu asisali ofisini kwake nyinyi hamfanyi ibada maofisini hamuweki misalaba maofisini .Malima ndio aliyewafungua macho waislamu wanchi hii.
 
Mkuu pambana na hali yako, haya mengine yatakuumiza moyo pasipo sababu.
Watu wa aina yako mmekosa sifa za Uzalendo ili uwe mzalendo ni lazima uwe na mrengo wa kuumia kwa ajiri ya taifa na jamii yake unaposema pambana na hali yako ni ukosefu wa weredi wa kizalendo
 
Malima alianza kuingia ktk siasa kwanza kisha akenda kusoma hilo ulijue halafu huo msikiti ni upi unaozungumzia yaan mtu asisali ofisini kwake nyinyi hamfanyi ibada maofisini hamuweki misalaba maofisini .Malima ndio aliyewafungua macho waislamu wanchi hii.
Malima alikuwa mdini sana kuna mambo mengi kama yangeachwa malima angeshatupeleka kuwa kama Somalia
 
Watu wa aina yako mmekosa sifa za Uzalendo ili uwe mzalendo ni lazima uwe na mrengo wa kuumia kwa ajiri ya taifa na jamii yake unaposema pambana na hali yako ni ukosefu wa weredi wa kizalendo
Huelewi maana ya uzalendo. Jitahidi uifahamu kabla ya kukosoa watu usiowajua.
 
allikua na mpango wa kuweka wazi sababu ya kuwa na gap kubwa la elimu kati ya waislam na wakristo kumbuka huyu alikua waziri wa Elimu aliyeanzisha mfumo wa kutumia namba badala ya majina. mtakatifu nyerere alipopata taarifa akamfuata uingereza then malima akarudi maiti. habari ndio hiyo
ALIKUWA NA MPANGO WA KUANZIA RADIO MUJAHIDINA PIA
 
Akiwa waziri wa fedha alikwapua fedha kibao za wananchi na kupeleka nje ya nchi (switzland). Halafu aliunda chama chake cha siasa chenye harufu kali ya udini. Inasemekana wakubwa waliiona hiyo na kuandaa mipango ya kuzirejesha fedha hizo nchini. Mungu bariki mipango ilifanikiwa na fedha zote zilirejeshwa BoT. Babu wa watu alipoenda kuchukua hela kiasi ili aendelee na mipango yake ya kuimarisha chama aliambiwa hakuna kitu. Alishikwa na mshtuko mkubwa kiasi cha mwili kushindwa kuhimili. Akakata roho palepale. That's all about Malima.
Hivi aliyemkuta kwenye kaunta na akamjibu "HAKUNA HELA" ni wewe, au ulikuwa pembeni yake ukasikia jibu hilo ? Kama ni hivyo hasante kwa kumaliza minong'ono Ghana.
 
kuna mtu kaandika

Akiwa waziri wa fedha alikwapua fedha kibao za wananchi na kupeleka nje ya nchi (switzland). Halafu aliunda chama chake cha siasa chenye harufu kali ya udini. Inasemekana wakubwa waliiona hiyo na kuandaa mipango ya kuzirejesha fedha hizo nchini. Mungu bariki mipango ilifanikiwa na fedha zote zilirejeshwa BoT. Babu wa watu alipoenda kuchukua hela kiasi ili aendelee na mipango yake ya kuimarisha chama aliambiwa hakuna kitu. Alishikwa na mshtuko mkubwa kiasi cha mwili kushindwa kuhimili. Akakata roho palepale. That's all about Malima.
 
Nadhani sababu ya waislamu kusingizia watu wengine matatizo yao ni tatizo genealogical zaidi kwa sababu kila nchi ambayo kuna Waislamu na watu wa dini zingine malalamiko ni hayo hayo. Ndio maana unaona mtu kama Al fayed naye analalamika anaonewa huko uingereza. Yaani hata mwislamu awe amesoma kiasi gani, awe tajiri kiasi gani akishakuwa karibu na mtu wa dini tofauti hujiona anaonewa-sijui kitaalamu hii hali huitwaje?

Haishii hapo tu, hata akiwa na waislamu wenziwe (hakuna dini nyingine) ile asili huanza kumsumbua ataanza kusema madhehebu Fulani ambayo ni tofauti na kwake yanamkandamiza mfano Sunni yananibagua vile mimi ni Shia etc.

Ndio maana kule Iraq, Afghanistan au Pakistan walikuwa wanalijipua kwasababu ya majeshi ya Marekani & Co. Lakini siku hizi hakuna majeshi ya Marekani kule Iraq lakini unaona bado wanajilipua na kuuwa raia wenzao. Kisa? ile asili inawapelekesha kufanya hivyo.
Kuna ombwe kubwa sana katika nafsi ya Mwislamu na hili ni la kuzaliwa, kurithi au kuambukizwa. Hata kama una ndugu alikuwa sio Mwislamu akishamaliza tu ile shahada na kwenda Msikitini wiki moja anakuwa na tabia kama za Waislamu wengine hujiulizi hayo mabadiliko kajifunza saa ngapi?

Kuhusu sredi hii, mwanzoni miaka ya 1980 ilikuwa wanasingizia kuwa hawafaulu wakristo wanawaminya kwa vile wakuu wa wizara ni wakristo. Leo viongozi wa wizara, ni dini yao malalamiko yamekuwa Necta wanatufelisha. Visingizo hubadilika kila mwaka, kuna siku tutakuja kuambiwa Waislamu wanafeli kwa vile wanarogwa na wakristo
Mkuu wangu shukran sana tena ningeomba jamaa wote hapa tuwe na mawazo kama haya kwa sababu tunaliwa kila siku na hawa jamaa. Iweje leo kila aliyepinga utawala wa CCM awe ndiye mbaya wetu. Toka Sokoine kachafuliwa kupita kiasi, Kisha mwalimu mwenyewe, haya ikaja Kolimba, Kombe, Mwaikambo na Bima, Mbatia kaiba EPA na Balali, Amina Chifupa sijui malaya kafa na Aids, Mwakyembe, Mwandosya, Sitta yaani wote hawa wana makosa wao sio utawala.

Halafu utaona viongozi wa dini zetu wakiwapongeza JK na Lowassa hivi kweli bado tunataka ushahidi gani kwetu tupate kuuona ukweli?..Ndio maana tunakosa wapiganaji maana sisi wenyewe WANAFIKI wa mioyo yetu wenyewe. Vijana wanapoandamana wanapigwa na Polisi hadi wengine kuawa tunawalaumu wao kwa ujinga wao yaani Linchi hili jamani aaah!
Zakumi mkuu wewe si umefanya reaseach ?????
Sasa mfanya resarch umeshaanza kuona hiyo post ndefu. Sasa sijui hiyo reaarch uyako ilikuwa GiG ngapi za data na ni ya shule ngapi , ngapi au wazazi wangapi?

Kfupi hata experince na observation ni kama reaseach.

Anyway ngoja niishe hapa kwenye mjadala huu niwasome wadau wengine
Ivi zinakutosha kweli utafiti gani uliofanya kuwa madrasa nitatizo kielimu naitaka serekali itoe uthibitisho kuwa madrasa nitatizo ikiwa nikweli basi basisserekaliserekali inaonasawa kupoteza wataalam kwakuwa niwaislam basihiyo serekali niyakibagudhi sio nyie wajinga hamnahamna tafiti wala taarifa yoyote ile kueneza porojo naongo zama hizo zimepitwa
Peleka wehu ukafe na uoze
Mkuu umeongea fact kabisa na ninakubaliana nawe!

Lakini inakuaje hata hao waislamu wachache waliokwenda shule nao bado hawapati nafasi wanazostahiki maofisini au hata balance ya kuajiriwa?

Napo tutasema ni kwa sababu wamechelewa kusoma au wamesoma shule zisizo na ubora? au shida ni nini mkuu em nidadavulie kidogo kisomi
Wana elimu ya aina gani
 
kuna mtu kaandika

Akiwa waziri wa fedha alikwapua fedha kibao za wananchi na kupeleka nje ya nchi (switzland). Halafu aliunda chama chake cha siasa chenye harufu kali ya udini. Inasemekana wakubwa waliiona hiyo na kuandaa mipango ya kuzirejesha fedha hizo nchini. Mungu bariki mipango ilifanikiwa na fedha zote zilirejeshwa BoT. Babu wa watu alipoenda kuchukua hela kiasi ili aendelee na mipango yake ya kuimarisha chama aliambiwa hakuna kitu. Alishikwa na mshtuko mkubwa kiasi cha mwili kushindwa kuhimili. Akakata roho palepale. That's all about Malima.
Haya yote yalifanyika chini ya utawala wa mzee mpenda haki- Ally HM. Na inasemekana Mzee na Malima ni mashemeji. Malima alioa dada wa mzee.
Na ni mzee mpenda haki aliyemuagiza JMK kwenda uingereza kufreeze accounts za Malima.

Hili suala halikushughulikiwa kidini japo Malima alikuwa mdini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom