Ukweli wa kifo cha Kighoma Ally Malima ni upi?

Kama mtaendelea kutafua hivi viji-sababu visivyo na mshiko mtaendelea kuwa nyuma ki-ELIMU milele. Ninajua ndivyo mnavyodanganywa huko misikitini.

From the horses mouth, mimi nilifanya mitihani wakati huo Waziri wa Elimu akiwa Jackson Makweta, Rais akiwa Julius Nyerere na tulitumia NAMBA katika mitihani yetu.

Sasa hili la kwamba Prof. Kighoma Malima ndiye aliyeleta mfumo na NAMBA kwa wahitimu linatoka wapi?! FYI, wakati huo Kighoma Malima alikuwa Lecturer UDSM akifundisha economics, hata SIASA alikuwa hajaingia. Ingawa sio vizuri kumsema marehemu lakini Prof. Kighoma Malima alikuwa MDINI sana kiasi cha kujenga ka-msikiti pale Wizara ya ELIMU. Sipati picha kama Jackson Makweta angejenga ka-kanisa wizara ya ELIMU sijui kelele zingekuwa je?
sio kila wanaopost mkuu wanamaanisha.... nimetumia namba kabla malima hajawa waziri wa elimu, ila ujue ndivyo waislamu wanavyodanganywa kwenye mihadhara na wao wanaamini
 
Yaani kwa kweli inasikitisha kumfanya mtu kuwa legend kwa kitu ambacho hakukifanya! Hakuanzisha namba huyo!
 
Mtoa hoja anadhani kuna upendeleo? Hayo ni ya uongo, waulizeni waliosoma zamani yaani ss, kuna waislamu walikuwa fit
 
Suala uwezo siyo dini! Mnadanganywa labda sual sensitivity kwa sasa wako senstv na elimu cyo wakati huo huyo hana mchang
 
sio kila wanaopost mkuu wanamaanisha.... nimetumia namba kabla malima hajawa waziri wa elimu, ila ujue ndivyo waislamu wanavyodanganywa kwenye mihadhara na wao wanaamini

Tatizo langu MTM ni kwamba hawa ndugu zetu waislamu wanadanganywa na watu ambao hawajawahi hata kuona kuta sekondari kama Sheikh Basalem, halafu wanachukulia huo uongo as a word of God. i.e unquestionable. Lakini bahati mbaya hata Waislamu waliosoma badala ya kukanusha huo uongo wanauacha uendelee.

Mimi naye rafiki yangu mwislamu, tulisoma wote O level na bahati nzuri tukaja kukutana University. Wote tulifanya mitihani enzi hizo wakati Prof Malima hajawa waziri wa ELIMU na tulitumia NAMBA sio MAJINA. Niliwahi kumuuliza kwanini waislamu hamusemi ukweli kuhusu suala hili na NAMBA, mkawa elimisha waislamu wengine ambao wamedannganywa na Masheikh Masilahi?!. Alinijibu kifupi kwamba SISi Waislamu tuna matatizo mengine ambayo hatutaki kuyafahamu. Ukiwaambia waislamu huo ukweli wakati wao walishakuwa indoctrine hivyo unaweza kupigwa. Wataamini umetumwa na Makafir kuwavuruga.

Kwakuwa ni rafiki yangu na sikutaki "kum-offend" sikuendelea kumdadisi zaidi. Lakini ukweli unafahamika humu hata kwa waislamu wote tuliofanya mitihani hata kabla Prof Malima hajawa waziri wa ELIMU tulitumia NAMBA na wala hakuna kitu eti kutumia namba na Majina at the same time.

Mchawi wa Waislamu ni Waislamu wenyewe na DINI yao.
 
Tuondoe ubishi huu, hivi namba zimeanza kutumika mwaka gani chini ya NECTA?. Na nani alikuwa waziri wa elimu? Na imegeuka lini majina yameanza kutumika tena?
 
Akiwa waziri wa fedha alikwapua fedha kibao za wananchi na kupeleka nje ya nchi (switzland). Halafu aliunda chama chake cha siasa chenye harufu kali ya udini. Inasemekana wakubwa waliiona hiyo na kuandaa mipango ya kuzirejesha fedha hizo nchini. Mungu bariki mipango ilifanikiwa na fedha zote zilirejeshwa BoT. Babu wa watu alipoenda kuchukua hela kiasi ili aendelee na mipango yake ya kuimarisha chama aliambiwa hakuna kitu. Alishikwa na mshtuko mkubwa kiasi cha mwili kushindwa kuhimili. Akakata roho palepale. That's all about Malima.

good,hata mimi niliambiwa hivyohivyo,
 
Taarifa ya kitaalamu kutoka kwa madaktari bingwa waliofanya post moterm kutoka na kifo cha Kighoma walisema chanzo cha kifo chake ni mstuko wa moyo na shinikizo la damu.
Lakini mchango wangu katika mada hii ni udini wa mtu huyu.
Kighoma Malima ndiye waziri pekee aliyetumia nembo ya wizara na Taifa kumwandikia rais wa awamu ya pili, kumshauri kutoa upendeleo wa kipekee kwa WAISLAM katika elimu, ili walingane na wasomi wa Kikristo.Barua hiyo ilichapishwa katika magazeti ya wakati huo, na yalisababisha mtafaaruku mkubwa,kiasi kwamba rais alipofanya mabadiliko ya baraza la mawaziri ,alihamishiwa wizara ya fedha.
Pili huyu bwana kila wizara aliyopelekwa alichukuwa chumba kimoja katika wizara na kugeuza kuwa msikiti.
 
No Research NO RIGHT TO SPEAK! Kusema Kighoma Ally Malima ndo alieanzisha utaratibu wa namba ni Uwongo mtupu na utafutaji wa sifa za kijinga! Wengine tumefanya mitihani ya shule ya Msingi na Sekondari ( form 1-6) miaka ya 80 Kwa kutumia NAMBA kabla Hayati Malima hajawa Waziri wa Elimu, Upotoshaji huu hautusaidii chochote.
 
Mfumo wa namba ulikuwepo kabla Marehemu Malima hajawa waziri wa elimu. Jaribu kuuliza waliosoma kabla huyu jamaa hajapata huo uwaziri wa elimu watakudhibitishia hili. Pia kama namba ilikuwa sababu mbona bado miaka kibao imepita na trend ni ile ile ya ufaulu?

usibishe vitu vilivyo wazi. Ndie alieleta mpango huo wa kutumia namba nakama ulikuwepo ulikuwa haufanyi kazi mpaka alipoingia yeye. Jamaa alipendwa walimuua maksudi walijua nchi inaondoka kwani Narea haikuwa tu kwa waislam na wakristu. Walimpenda alikuwa mtu wa haki ila nyerere na kanisa waliona tutakimbilia wapi ukweli alikuwa mtetezi wa waislam. Nakumbuka alikuja tabora miaka 1995 ni watu hao. Chukulia mrema alikuwa na nguvu wakristo ndo walimuumga mrema kwa wingi na kighoma aliungwa na waislam je ccm ingebaki hapo ndo ulikuwa mwisho wake.
 
Adam Malima kasota wapi?kasoma Shaaban Robert,Mzizima, Chuo Kikuu UK, Masters Uk, Kazi BOT then ubunge na Uwaziri?.Binafsi sioni tofauti ya Adam Malima na Ridhwan KIkwete na Abbas Mwinyi,January Makamba n Co.Walewale tu!

Hakeem Makamba,

..Adam Malima siyo graduate wa UDSM. Huyu amesoma 1st degree Cuba na baadaye akaenda UK for his masters.

..kuhusu kusota, ni kweli watoto wa Malima walisota baada ya baba yao kufarika.
 
Akiwa waziri wa fedha alikwapua fedha kibao za wananchi na kupeleka nje ya nchi (switzland). Halafu aliunda chama chake cha siasa chenye harufu kali ya udini. Inasemekana wakubwa waliiona hiyo na kuandaa mipango ya kuzirejesha fedha hizo nchini. Mungu bariki mipango ilifanikiwa na fedha zote zilirejeshwa BoT. Babu wa watu alipoenda kuchukua hela kiasi ili aendelee na mipango yake ya kuimarisha chama aliambiwa hakuna kitu. Alishikwa na mshtuko mkubwa kiasi cha mwili kushindwa kuhimili. Akakata roho palepale. That's all about Malima.

Inasemekana JK akiwa naibu waziri wa fedha ndo alitumwa kufunga account za Malima.
 
Adam Malima ni mtoto wake probably first born wake. Attributes zote za baba yake pia anazo. Like father, like son!

Adam Malima ambaye ni mtoto wa Kighoma alirithi chama cha baba yake [NRA} na kukiendesha for some time, lakini when the going became tough ilibidi awaangukie wazee wakina Kingunge nai wao ndio waliomrudisha CCM na sasa hivi anaendeleza ufisadi wa baba yake hapo wizara ya Nishati na Madini!!
 
Tatizo langu MTM ni kwamba hawa ndugu zetu waislamu wanadanganywa na watu ambao hawajawahi hata kuona kuta sekondari kama Sheikh Basalem, halafu wanachukulia huo uongo as a word of God. i.e unquestionable. Lakini bahati mbaya hata Waislamu waliosoma badala ya kukanusha huo uongo wanauacha uendelee.

Mimi naye rafiki yangu mwislamu, tulisoma wote O level na bahati nzuri tukaja kukutana University. Wote tulifanya mitihani enzi hizo wakati Prof Malima hajawa waziri wa ELIMU na tulitumia NAMBA sio MAJINA. Niliwahi kumuuliza kwanini waislamu hamusemi ukweli kuhusu suala hili na NAMBA, mkawa elimisha waislamu wengine ambao wamedannganywa na Masheikh Masilahi?!. Alinijibu kifupi kwamba SISi Waislamu tuna matatizo mengine ambayo hatutaki kuyafahamu. Ukiwaambia waislamu huo ukweli wakati wao walishakuwa indoctrine hivyo unaweza kupigwa. Wataamini umetumwa na Makafir kuwavuruga.

Kwakuwa ni rafiki yangu na sikutaki "kum-offend" sikuendelea kumdadisi zaidi. Lakini ukweli unafahamika humu hata kwa waislamu wote tuliofanya mitihani hata kabla Prof Malima hajawa waziri wa ELIMU tulitumia NAMBA na wala hakuna kitu eti kutumia namba na Majina at the same time.

Mchawi wa Waislamu ni Waislamu wenyewe na DINI yao.

je unafahamu prof Malima ameteuliwa wizara hiyo mara mbili. Nadhani we ulikuwapo wakati anateuliwa mara yapili na dhani nimekutosha. Kabla ya kuingia mara ya kwanza kweli ulikuwapo lakini haukufanya kazi akaona ni bora kuurejesha acha ushabiki
 
Mfumo wa namba za kabla ya Malima ni kuwa ulikuwa na namba na jina na Malima akanzisha kubakisha namba na majina ya mechishwe baadae na namba. Hiyo ndio tofauti.

Baada ya Malima namba na majina zikarudi kama kawa, tena nadhani namba zikabaki kuwa ni serials tu na majina ambayo ni rahisi sana kubagua kwa mfumo uliokuwepo wa kujaza nafasi zilizokuwepo ilikuwa ni rahisi sana ukichukulia kuwa idara za serikali zinaajiri wakatoliki kwa 83%. Kama unabisha hesabu idara uliopo.
Waziri wa Elimu wa sasa ni nani?
 
msikiti hakujenga bwana walikua wanamsingizia tu,ni sehemu tu ambayo ilikua hata hivyo haitumiki yeye akaitenga kwa ajili ya kufanyia ibada ili asipoteze muda wa kuwatumikia watz na kwenda kufanya ibada kariakoo mchana na kurudi ofisini,akaona awe anafanya ibada zake za saa saba na saa kumi pale kwa dk 15 then anaendelea kuchapa kazi,wengi wanaofanya ibada mara tano kwa siku kwa mujibu wa uislam wanafanya hivyo maofisini mwao,hata dau pale ofisi kwake ikifika saa saba wengine wakienda lunch yeye anajifungia ofisini kwake anachukua mkeka wake anamuomba mungu 15minutes then anarudi kwenye kiti chake na kuendelea na kazi,ni ajabu malima angejenga msikiti si ungepigwa hata picha basi tuuone maana msikiti ni lazima wangekua na watu wengine wanaingia kufanya ibada utajenga msikiti wapeke yako...sema fitna zilikua nyingi,malima wafanyabiashara wakiongozwa na mengi hawakumpenda kabisa sababu alikua anawabana ndio wakaanzisha media kampeni dhidi yake,ndio mana mpaka kesho adam malima na mengi ni chui na paka kwa kuwa ule ugomvi adam kaurithi na aliapa kulipa kisasi kwa mengi kumchafua babake wakati hakua na mali yeyote kighoma malima,hata familia yake imesota sana,huyu adam mwenyewe kasota sana msimuone hivi sasa,alikua kama chizi kuna kipindi,kabla ya kupewa kibarua na azim dewji!

Hayo ya namba siyajui kama yalikuwepo huko nyuma kipindi cha nyerere kama kweli yalikuwepo basi kuna kipindi inawezekana yalisitishwa ndio malima kweli akayarejesha,hii nakumbuka kabisa.na kuhusu udini,ni kwa sababu alipofika elimu alijitahidi kuwapa nafasi waislam wasomi waliokua hawajapandishwa vyeo muda mrefu na kwa mara ya kwanza katika historia ya wizara ile toka uhuru akateua ama akawapendekeza wakurugenzi wa elimu ya msingi na sekondari waislam kwa mara ya kwanza narudia toka tupate uhuru hakukuwahi kuwa na waislam kwenye chances hizo kama ilivyokuwa kwa waziri wa wizara hiyo muislam yeye ndio alikua wziri wa kwanza toka uhuru muislam pale.je tukiweka ushabiki pembeni na kufuata haki malima pale alikua na kosa kama kweli hao waislam walikua na sifa?mimi nadhani kama walikua na sifa na hawajapandishwa vyeo muda mrefu mtu yeyote mpenda haki asingefanya tofauti na malima.tuache jazba na ushabiki kupita kiasi.
asante mkuu kwa kuwatoa matongo tongo hao watu, ''tusiwe na hasira juu ya ukweli''
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom