Ukweli wa kifo cha Deo Filikunjombe

Ukweli wa kifo cha Deo Filikunjombe

Kusema Kweli, Umepiga Blah Blah Nyingi Kuliko Material. Nashauri Ui-edit Post Yako Manake!
 
r.i.p. sokoine, komba, kolimba, amrani komba, filikunjombe, mwangosha, mvungi na deo roho zinazolililia chama tawala ccm.
 
Ajali ya deo ilikuwa ya kupangwa na narudia tena deo filikunjombe was assasinated.Alijiamini kupita kiasi bila kujua wabaya wake waliwekeza sana kumtafuta.

Ulale kwa amani deo ulikuwa na moyo wa pekee katika kujitoa kwa wengine.Naamini umepumzika sehemu salama sana.

Mnaojua ukweli mko kimya aisee mbaya sana, dunia itajuaje km aliuwawa?? Tokeni huko mlipo mtuambie, wahusika wachukuliwe hatua,
 
Unasema kijana mmoja ndani ya chama anayebebwa ila hana uwezo una maanisha nini? Si useme tu hata ikiwa na mwanzo wa mwaka na mawaya yake ya katani sema tu.
 
Jitokeze hadhalani useme hayo utapata wafuasi wengi kuliko humu
 
Ajali ya deo ilikuwa ya kupangwa na narudia tena deo filikunjombe was assasinated.Alijiamini kupita kiasi bila kujua wabaya wake waliwekeza sana kumtafuta.

Ulale kwa amani deo ulikuwa na moyo wa pekee katika kujitoa kwa wengine.Naamini umepumzika sehemu salama sana.

Na vifo vya hawa?

1,kombani,(matusi ya kumuita jamaa mgojwa ni kweli?)

2,mtikila ( fununu ushaidi na kufungua kesi kwa jamaa?)
Vipi hapo
 
Inawezekana
Aliyesababisha kifo cha
1,mtikila na deo
Ni huyo huyo,japo vipi chizi
 
Ajali ya deo ilikuwa ya kupangwa na narudia tena deo filikunjombe was assasinated.Alijiamini kupita kiasi bila kujua wabaya wake waliwekeza sana kumtafuta.

Ulale kwa amani deo ulikuwa na moyo wa pekee katika kujitoa kwa wengine.Naamini umepumzika sehemu salama sana.

lakini hatujawahi kusikia kama alikuwa na ugomvi na mtu.
 
Kusema Kweli, Umepiga Blah Blah Nyingi Kuliko Material. Nashauri Ui-edit Post Yako Manake!

Kama hivi.....





Ni nani alihusika na kifo cha Deo? je kilikuwa cha kawaida au watu wametaka tuamini kuwa ni cha kawaida? kuna hadhithi nyingne zimekuwa zikisemwa lakini moja wapo ni kuwa kifo chake kinahusishwa na kijana mwenzie aliye ndani ya chama.
.
 
Deo si ndo alisoma ripot kuhusu Escrow .....lisemwalo lipo kama halipo basi lipo njiani linakuja
 
duuu wewe kweli Chizi Maarifa umetandika bonge la porojo hapa
Hili ni jambo ambalo halijawahi kuacha kunizunguka kichwani nikiwaza nini hasa kilitokea kwa kijana mwenzetu Deo Filikunjombe.

Huyu kijana pasipo watu kuangalia vyama vyao walimpenda na kumwona ni kijana ambaye alikuwa ni mzuri kwenye matendo sana kuliko kwenye maneno ya kinafiki kama wanasiasa wetu wengi waliopo sasa.

Mh Deo Filikunjombe alikuwa akiifanya siasa kwa matendo chanya katika Jimbo na Hatimaye Taifa. alisimamia alichoamini kwa matendo na imani kubwa. Na katika hili hakuangalia chama. aliangalia watu wake.

Ni wazi kuwa alionekana tishio kwa wanasiasa wengi vijana waliopo ndani ya chama chake.
Je ni kweli leo hii taumkumbuki tena Deo ? ni kweli amepita kama kivuli? hatujaweza kuhoji hasa mazingira ya kifo cake na kauli zilizowah kutolewa haraka baada tu ya kifo chake?

Watanzania tunawezaje kuwazungumzia watu wa hovyo hovyo walio kwenye system hivi sasa tukasahau vijana mahiri kama Deo? hakuwa na tamaa ya haraka kama waliyo nayo vijana wengi waliopo kwenye siasa hivi sasa ambao wamekuwa wakitudhalilisha sana kwa maamuzi na kauli zao za hovyo kiasi kwamba tunajuta kuwa na viongozi wa namna hiyo wenye nembo ya ujana.

Wakati mwingne tunawavumilia na kutetea ujinga na upuuzi wao kwa kisingizio cha chama lakini kiuhalisia ni matatizo katika Taifa hili.

Ni nani alihusika na kifo cha Deo? je kilikuwa cha kawaida au watu wametaka tuamini kuwa ni cha kawaida? kuna hadhithi nyingne zimekuwa zikisemwa lakini moja wapo ni kuwa kifo chake kinahusishwa na kijana mwenzie aliye ndani ya chama hasa baada ya kuona kuwa Deo anaonekana kuwa na nguvu na kupendwa na watanzania wengi kuliko huyo kijana ambaye uwezo wake ni mdogo isipokuwa amekuwa akibebwa.

Yamesemwa mengi lakini je ndo tuseme Deo amepita kama kivuli? hizi ni mbegu ambazo zilipaswa zipaliliwe na pia ziwekewe mbole vizuri kuikuza nchi yetu na hata zinapokufa zisiwe bure bali iwe ni nafasi nzuri ya kuzaa zaidi na zaidi. wamebaki vijana mafisadi, wanafiki,wenye kujijali wao zaidi, wenye kujipenda wao zaidi kuliko Taifa, wasio na uwezo mzuri kwa kuongoza na kunena maneno ya hekima.

Mimi na wewe tunaweza kujua kama tukiamua aliyesababisha kifo cha Mh Deo filikunjombe. tusinyamaze leo yeye kesho wewe..na unaponyamaza kimya kwa mwenzio mwishoni hata wewe hutapata wa kukupazia sauti .
 
Hili ni jambo ambalo halijawahi kuacha kunizunguka kichwani nikiwaza nini hasa kilitokea kwa kijana mwenzetu Deo Filikunjombe.

Huyu kijana pasipo watu kuangalia vyama vyao walimpenda na kumwona ni kijana ambaye alikuwa ni mzuri kwenye matendo sana kuliko kwenye maneno ya kinafiki kama wanasiasa wetu wengi waliopo sasa.

Mh Deo Filikunjombe alikuwa akiifanya siasa kwa matendo chanya katika Jimbo na Hatimaye Taifa. alisimamia alichoamini kwa matendo na imani kubwa. Na katika hili hakuangalia chama. aliangalia watu wake.

Ni wazi kuwa alionekana tishio kwa wanasiasa wengi vijana waliopo ndani ya chama chake.
Je ni kweli leo hii taumkumbuki tena Deo ? ni kweli amepita kama kivuli? hatujaweza kuhoji hasa mazingira ya kifo cake na kauli zilizowah kutolewa haraka baada tu ya kifo chake?

Watanzania tunawezaje kuwazungumzia watu wa hovyo hovyo walio kwenye system hivi sasa tukasahau vijana mahiri kama Deo? hakuwa na tamaa ya haraka kama waliyo nayo vijana wengi waliopo kwenye siasa hivi sasa ambao wamekuwa wakitudhalilisha sana kwa maamuzi na kauli zao za hovyo kiasi kwamba tunajuta kuwa na viongozi wa namna hiyo wenye nembo ya ujana.

Wakati mwingne tunawavumilia na kutetea ujinga na upuuzi wao kwa kisingizio cha chama lakini kiuhalisia ni matatizo katika Taifa hili.

Ni nani alihusika na kifo cha Deo? je kilikuwa cha kawaida au watu wametaka tuamini kuwa ni cha kawaida? kuna hadhithi nyingne zimekuwa zikisemwa lakini moja wapo ni kuwa kifo chake kinahusishwa na kijana mwenzie aliye ndani ya chama hasa baada ya kuona kuwa Deo anaonekana kuwa na nguvu na kupendwa na watanzania wengi kuliko huyo kijana ambaye uwezo wake ni mdogo isipokuwa amekuwa akibebwa.

Yamesemwa mengi lakini je ndo tuseme Deo amepita kama kivuli? hizi ni mbegu ambazo zilipaswa zipaliliwe na pia ziwekewe mbole vizuri kuikuza nchi yetu na hata zinapokufa zisiwe bure bali iwe ni nafasi nzuri ya kuzaa zaidi na zaidi. wamebaki vijana mafisadi, wanafiki,wenye kujijali wao zaidi, wenye kujipenda wao zaidi kuliko Taifa, wasio na uwezo mzuri kwa kuongoza na kunena maneno ya hekima.

Mimi na wewe tunaweza kujua kama tukiamua aliyesababisha kifo cha Mh Deo filikunjombe. tusinyamaze leo yeye kesho wewe..na unaponyamaza kimya kwa mwenzio mwishoni hata wewe hutapata wa kukupazia sauti .

Ssi sote ni wa mwenyezi mungu,na kwake ni lazima tutarejea-mwenyezi mungu anapolitaka jambo huliambia "KUWA" nalo huwa.
 
MUANZISHA UZI UMESKIA YULE BINTI ALIYEKAMATWA KWA UCHOCHEZ HUKO IRINGA KAA MKAO WA KUELEKEA SEGEREA TEHETEHE:angry:
 
sijaelewa unachota tufanye,tujadili au tumtaje aliye usika na kifo cha DEO?weka wazi
 
Ajali ya deo ilikuwa ya kupangwa na narudia tena deo filikunjombe was assasinated.Alijiamini kupita kiasi bila kujua wabaya wake waliwekeza sana kumtafuta.

Ulale kwa amani deo ulikuwa na moyo wa pekee katika kujitoa kwa wengine.Naamini umepumzika sehemu salama sana.

...ajali ilipangwaje/how was he assasinated?
...hao 'wabaya' wake ni kina nani hasa?
...tuanze na wewe mana waonesha kuna unayoyajua!
 
Kiukweli kbsa najua JF sio mahala pa habari nyepesinyepesi,ila uvumi ilikuepo ni kua wkti captain William slaa alipotaka kurusha Ndege,comms zote zilikatwa na Lugalo barracks kwa hyo hakueza kua na mawasiliano na watu wa mMlaka ya anga,,,kiukweli vlevle nmesikia kifo chake kilihusishwa na Siasa na nackia kwenye copter alibeba 10 bil alizopewa na team lowassa kwenda kuiangamiza ccm nyanda za juu kusini,,,,Huu ni uvumi niliosikia,,kuhusu ukweli siujui
Kabla ya kurusha alishajua hakuna mawasiliano halafu akaendelea na safari....!!? Wewe unataka kuchomoa baadhi ya watu kwenye tuhuma, si bure.
 
Unasema kijana mmoja ndani ya chama anayebebwa ila hana uwezo una maanisha nini? Si useme tu hata ikiwa na mwanzo wa mwaka na mawaya yake ya katani sema tu.
Ngoja nikasikilize MREMA ya DR. Remmy
 
Back
Top Bottom