Kiukweli kbsa najua JF sio mahala pa habari nyepesinyepesi,ila uvumi ilikuepo ni kua wkti captain William slaa alipotaka kurusha Ndege,comms zote zilikatwa na Lugalo barracks kwa hyo hakueza kua na mawasiliano na watu wa mMlaka ya anga,,,kiukweli vlevle nmesikia kifo chake kilihusishwa na Siasa na nackia kwenye copter alibeba 10 bil alizopewa na team lowassa kwenda kuiangamiza ccm nyanda za juu kusini,,,,Huu ni uvumi niliosikia,,kuhusu ukweli siujui
10 billion kwenye chopa???????????????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!