Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Nimekutana na matukio ya baadhi ya wajukuu zangu ambayo yameniacha hoi,
Kwa wale walio kwenye mahusiano ya kimapenzi (bila kujali strength ya bond), ni taarifa kiasi gani anatakiwa kupewe wa ubani wako?? Ni vitu gani vinatakiwa kuwekwa siri?? Labda niweke hivi:
Past relations....ni kiasi gani kiwe siri na yale unayoamua kumueleza basi ni asilimia ngapi za ukweli apewe??
Mambo ya fweza.....kuna haja ya kuwa siri? Na kama siyo siri, mwenzio ajue asilimia kiasi ngapi?
Mambo ya familia yako....umweleze yapi na kuficha yapi...na kwa yale uliyoamua kueleza, kuna umuhimu wa kubakiza kitu??
Mambo ya kwenye bedroom...Sanaa iwe kiasi gani na ukweli uwe kiasi gani?? Asilimia ngapa ya yale unayomweleza ni fix?
Mahusiano na vibustani (current but dubious relations, if any)......Unaweza kusema (disclose) kitu hapa??
AOB.......Unaweza kuongeza lolote ili wajukuu zangu wapate faida bure,
Kumbuka...umepewa bure....huna sababu ya kuwanyima wenzio!!!
......Ila ukikaa uchi lazima utaumbuka na ukijifunika sana utaiva kama ndizi!!!
Kwa wale walio kwenye mahusiano ya kimapenzi (bila kujali strength ya bond), ni taarifa kiasi gani anatakiwa kupewe wa ubani wako?? Ni vitu gani vinatakiwa kuwekwa siri?? Labda niweke hivi:
Past relations....ni kiasi gani kiwe siri na yale unayoamua kumueleza basi ni asilimia ngapi za ukweli apewe??
Mambo ya fweza.....kuna haja ya kuwa siri? Na kama siyo siri, mwenzio ajue asilimia kiasi ngapi?
Mambo ya familia yako....umweleze yapi na kuficha yapi...na kwa yale uliyoamua kueleza, kuna umuhimu wa kubakiza kitu??
Mambo ya kwenye bedroom...Sanaa iwe kiasi gani na ukweli uwe kiasi gani?? Asilimia ngapa ya yale unayomweleza ni fix?
Mahusiano na vibustani (current but dubious relations, if any)......Unaweza kusema (disclose) kitu hapa??
AOB.......Unaweza kuongeza lolote ili wajukuu zangu wapate faida bure,
Kumbuka...umepewa bure....huna sababu ya kuwanyima wenzio!!!
......Ila ukikaa uchi lazima utaumbuka na ukijifunika sana utaiva kama ndizi!!!