AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
Hapo (blue) umeniangusha.....Siyo kawaida yako kuficha ficha...Mbona hata zile SRM zinazikufanya kichaa umetueleza??Weka wazi tu, ni 100% unamwaga kwenye public domain ya mwenyewe?
Umenifurahisha kweli... Mie nilifikiri kua nisema kama nivizuri iwe siri ama lah!...lol... But nimeenda kuangalia.. nimenotice kweli i have left something out.... Hicho nilicho quote...
Mambo ya kwenye bedroom...Sanaa iwe kiasi gani na ukweli uwe kiasi gani?? Asilimia ngapa ya yale unayomweleza ni fix?
Mambo ya Chumbani
Mpenzi ambae ni wakudumu hasa Mwenza ni muhimu saana kuwa wazi na wakweli katika issue nzima ya 6/6 if kweli mwataka jenga ndoa yenu katika suala zima la Love making... Mwanzoni hua nivigumu i believe but with time mkishazoeana ni muhimu saana mkawa free and comfortable to talk about it... Tumeona jinsi maswali meengi hapa MMU hupostiwa na kuuliza maswali kibao kuhusu wapenzi wao wakati wa mda wa hilo tendo.. Yale maswali yakiwa directed kwa mhusika hujenga saana na with time mwaweza jikuta compactible...
Naamini in most cases Mapenzi yale ya Gizani ama tu kukutana usiku yameisha/pitwa na wakati... Naamini wapenzi wawe wazi nakueleza what and how the like most (asikubali tu kwenda back doors); Hiio humsaidia hata Mpenzi wako wepesi katika kukuridhisha... Hivo fix katika hili eneo halifai kabisa... Labda kama ni one night stand.. au uko kwenye tempo uhusiano na sex sio kilichokupeleka hapo...