Wale wababiloni walikuwa na lengo la kuboresha maisha yao ambayo Mungu hakuwaboreshea.Hahaha. Lakini inategemea na mission mliodhamiria kufanya.
Ubora wa maisha sometimes ni relative term tu.Wale wababiloni walikuwa na lengo la kuboresha maisha yao ambayo Mungu hakuwaboreshea.
Sasa hapo kulikuwa na kosa gani?
Nahisi kwa nukta yako...umeumaliza mjadalaKitu nilichojifunza hapa ni kwamba Mungu hapendi ushirikiano... Anapenda kila mtu apambane na hali yake
Mnara wa Babeli ni takataka tu, kifusi cha mchanga cha kipuuzi kilichojazwa na Primitive Society.Mkuu mnara wa babeli na space station, rocket,space ship kipi hatari? Mbona mungu hajazihujumu hizi teknolojia kufika huko juu.
Watu wengi inaonesha hamujui hata motivation speaking au motivation ni nini lilibuka wimbi la ushamba wa kudhihaki Motivation, kimsingi hicho ulichokiona cha maana kaindika mtoa mada ni motivation pia na hizo unazosema wanahubiri sio practical ukoenda Zisikiliza ni motivation zinazo make sense.Ok sahihi kabisa mkuu. Bahati mbaya wabantu hili halituingii akilini. Ingependeza kungeandikwa vitabu vingi kuhus namna ya kushirikiana kwenye shughuli za uchumi na motivational spika badala ya kuhubiri vitu siyo practical wahubiri ushirikiano.