Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,620
- 34,053
Utatafuta kila namna ila huu utabaki kuwa uhalisia.
Wengi wanajua stori za mnara wa babeli. Ni mnara unaodhihirisha nguvu ya ushirikiano. Mungu aliona kutokana na ushirikiano uliokuwepo wale watu walikuwa wanaenda kufanikiwa akaamua kuwavuruga lugha.
Ushirikiano ndio mafanikio ndio maana ni Jambo gumu mno kufanyika.
Hakuna penye ushirikiano pakakoswa mafanikio hata siku moja.
Sasa hapa kuna namna mbili.
1. Either uuze kitu/vitu au huduma kwa watu wengi (yaani uwafanye watu wengi wakupe pesa zao)
2. Mkae pamoja kama kundi, then mpeane kampani.
Kila mbinu ya mafanikio iko hapo.
Wengi wanajua stori za mnara wa babeli. Ni mnara unaodhihirisha nguvu ya ushirikiano. Mungu aliona kutokana na ushirikiano uliokuwepo wale watu walikuwa wanaenda kufanikiwa akaamua kuwavuruga lugha.
Ushirikiano ndio mafanikio ndio maana ni Jambo gumu mno kufanyika.
Hakuna penye ushirikiano pakakoswa mafanikio hata siku moja.
Sasa hapa kuna namna mbili.
1. Either uuze kitu/vitu au huduma kwa watu wengi (yaani uwafanye watu wengi wakupe pesa zao)
2. Mkae pamoja kama kundi, then mpeane kampani.
Kila mbinu ya mafanikio iko hapo.