Ukweli usemwe watu wanaumizwa mno

Ukweli usemwe watu wanaumizwa mno

Pole sana mkuu. . .

, kuna majitu hayana regard na hisia za wengine ...

Ila acha kuchochea mkuu.. .

Hujaumizwa kama wale wanaotolewa connection zao, right?

Kuna damage umefanyiwa ,yes, ila unavyojaribu kucontrol reputation yako ndio unaharibu zaidi ...nimeona wanaokutukana ni wale wajinga wajinga wanaoanzishaga nyuzi za hovyo humu...vichwa vyao vimejaa makamasi, usishindane na watu wa hivyo Marry
 
Pole sana mkuu. . .

, kuna majitu hayana regard na hisia za wengine ...

Ila acha kuchochea mkuu.. .

Hujaumizwa kama wale wanaotolewa connection zao, right?

Kuna damage umefanyiwa ,yes, ila unavyojaribu kucontrol reputation yako ndio unaharibu zaidi ...nimeona wanaokutukana ni wale wajinga wajinga wanaoanzishaga nyuzi za hovyo humu...vichwa vyao vimejaa makamasi, usishindane na watu wa hivyo Marry
Oooh asante my dear
 
Shikamoon wakubwa

Jamani,nimejaribu kuwaza kitu kwanini wanaume wengi hasa humu mtandaoni wa gubu sana na wanawaza ngono tu?

Kwa mfano ni juzi tu hapa nimepost mada ili kusaidiana Mawazo kuhusu maisha,kumbukeni nivyohitaji Mawazo humu si kwamba hizo aidia Mimi sina,Bali ni kwamba najaribu kuwianisha na kimsingi wapo wachache ambao nimechukua ushauri wao kama ulivyo na nitaufanyiq kazi.

Ila wengine sasaaaa,

Mara oooh huyu anajiuza,anatafuta bwana,mara anatafuta mume,halafu ina maana mtaani wanaume hamna Hadi mtu aje mtandaoni,Kwa wanaume gani sasa,

Yaani mwanaume anayeshinda mtandaoni masaa kibao huyu atakuwa mume wa nani.

Yaani Maria Mimi nitafute mwanaume mtandaoni, sikilizeni Mimi kama nilivyopost picha yangu mtandaoni ndivyo nilivyo,si wa kishua nimezaliwa kwenye family ya kawaida,hakuna mwanaume hawezi kuwa na Mimi sasa jidanganyeni na kujipa matumaini hewa nawezaje kujibu DM ya mtu wa jamiiforum,nawezaje kutoka na wanaume surambaya na mbovu wa humu ,wengi nimekutana nao wabayaaa mxieeew
Naomba kukutana na wewe bibie, pole nitumie no. Dm ila kipengele nilicho nacho ni jobless
Sharti uwe DSM mimi kukufata dm HAPANA ego yangu hairuhusu
 
Shikamoon wakubwa

Jamani,nimejaribu kuwaza kitu kwanini wanaume wengi hasa humu mtandaoni wa gubu sana na wanawaza ngono tu?

Kwa mfano ni juzi tu hapa nimepost mada ili kusaidiana Mawazo kuhusu maisha,kumbukeni nivyohitaji Mawazo humu si kwamba hizo aidia Mimi sina,Bali ni kwamba najaribu kuwianisha na kimsingi wapo wachache ambao nimechukua ushauri wao kama ulivyo na nitaufanyiq kazi.

Ila wengine sasaaaa,

Mara oooh huyu anajiuza,anatafuta bwana,mara anatafuta mume,halafu ina maana mtaani wanaume hamna Hadi mtu aje mtandaoni,Kwa wanaume gani sasa,

Yaani mwanaume anayeshinda mtandaoni masaa kibao huyu atakuwa mume wa nani.

Yaani Maria Mimi nitafute mwanaume mtandaoni, sikilizeni Mimi kama nilivyopost picha yangu mtandaoni ndivyo nilivyo,si wa kishua nimezaliwa kwenye family ya kawaida,hakuna mwanaume hawezi kuwa na Mimi sasa jidanganyeni na kujipa matumaini hewa nawezaje kujibu DM ya mtu wa jamiiforum,nawezaje kutoka na wanaume surambaya na mbovu wa humu ,wengi nimekutana nao wabayaaa mxieeew
Chai
 
mtandaoni, sikilizeni Mimi kama nilivyopost picha yangu mtandaoni ndivyo nilivyo,si wa kishua nimezaliwa kwenye family ya kawaida,hakuna mwanaume hawezi kuwa na Mimi sasa jidanganyeni na kujipa matumaini hewa nawezaje kujibu DM ya mtu wa jamiiforum,nawezaje kutoka na wanaume surambaya na mbovu wa humu ,wengi nimekutana nao wabayaaa mxieeew
Kwahiyo mpqngo mzima ni upi ?
 
Back
Top Bottom