Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,875
- 308
Nimemsikiliza huyu jamaa na nimeona ukweli katika utani wake. Kusema kweli imeniuma. Kwa nini Waafrika tukiongea kiingereza kwa accent ya kiafrika tunaonekana wajinga??
Mara nyingi unakuta mzungu anajifanya hakuelewi. I experienced that a lot, lakini siku izi na mimi najifanya siwaelewi.
Wengine mnaonaje? Have you had similar experience?
<font size="3">
Mara nyingi unakuta mzungu anajifanya hakuelewi. I experienced that a lot, lakini siku izi na mimi najifanya siwaelewi.
Wengine mnaonaje? Have you had similar experience?
<font size="3">
Last edited by a moderator: