Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Hahahaa ila weweesijui kwanini napenda utani wa hivo,ila kuna jamaa ni noma hua ananitania ananiita baba mkwe,huwa tunaishi nae sasa tunaweza kukutana coridoni ananipisha nipite eti anasema sio adabu kupishana na baba mkwe.
Lenie. sasa hivi mimba inamsumbua hadi mimi ananitenga
sijui kwanini napenda utani wa hivo,ila kuna jamaa ni noma hua ananitania ananiita baba mkwe,huwa tunaishi nae sasa tunaweza kukutana coridoni ananipisha nipite eti anasema sio adabu kupishana na baba mkwe.
