Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Kwa hiyo unataka kutuaminisha ni kosa mtu binafsi kuweka fedha zake Cyprus au Uswisi? Kuna tatizo gani kama hizo pesa zimepatikana kihalali?Goodmorning, Let love Lead,
Hata mimi natamani nyie ndugu zangu hilo giza nene litoke machoni penu kwa Jina la Yesu.
Hoja yangu kwamba TB JOSHUA aliandikwa na mtandao wa Wikileaks kwamba alibainika yeye pamoja na wanene wengine wengi kwamba wamelimbikiza mahela na kuyaficha visiwa fulani ili watu wasijue, naona umesita kutoa mtazamo wako.
Kumbuka hili chapisho la Wikileaks lilisababisha Waziri wa Canada kujiuzulu
TB Joshua alikanusha kama kawaida yake.
Pia angalizo ni kwamba hawa Wikileaks hawahusiki na mambo ya dini na taarifa zilitolewa na vyombo kama CNN vya magharibi huko.
Mlengwa hapo hakuwa TB bali wote walioficha hela kule, na TB akawepo kwenye orodha. Yaani kumbe anachota mahela pale SCOAN halafu anakwenda kuzichimbia huko CYPRUS na visiwa vi ginevyo kimya kimya.
Kama ulikuwa hujui ndio mchezo anaofanya Nabii wenu.
Goodmorning
Sent using Jamii Forums mobile app
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app