Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
- Thread starter
- #101
Itafute tu You Tube, ukiandika tu T.B.Joshua zitakuja nyingi pamoja na hayo mahojiano.Cc: TB Joshua
Mshana Jr tuwekee link basi hiyo ya YouTube tuone mahojiano
Kinachoniumiza kichwa ni wanaongezeka tu idadi lkn maudhui ni yale yale......
Na huenda na yeye anatafuta hela kwa mtindo wa kitabu kuuzwa, Hayo mapato yanenda wapi, kwanini asikitoe bure tu ..!!Vipi kama muandika kitabu ana bifu na TB Joshua so anamchafua? Au mtu akiandika tuu kitabu ndio msema kweli? Simuungi mkono TB Joshua lakini usiamini kila kitu maana alieandika kitabu ni mtu kama wewe.
Sent using my oneplus 7T
Kinachoniumiza kichwa ni wanaongezeka tu idadi lkn maudhui ni yale yale......
Just like bringing new wine in side the old bottle
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupia makabrasha yote ambayo umetumia kama rejea zako mkuu
Nilikuaga na dem mmoja Mchagga asee alikua humwambii kitu kuhusu huyu jamaa sasa mi nilikua namponda sana kuna siku tulizinguana mi nataka kuangalia mpira yeye anataka kumwangalia huyu jamaa!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bora
Bora wewe unajisemea moyoni kila mtu ana imani yake mimi huwa nawatukana kabisa maana haiwezekani watu wanapigwa kindezi namna ile
Kwani ni marangapi tunasikia maraisi wa nchi wanaingizwa mikenge na ku-sign mikataba mibovu chanzo kikiwa ni kudanganywa na wasaidizi wao.....Let's say ni kweli hoja za huyo mama
But huo uchawi au ushetani una weza kweli kufool dunia mzima? Mpaka kwa marais wa inchi kubwa?
Mfano leo tb Joshua ameenda Israel amepokelewa na Waziri mkuu,
Mataifa makubwa yote ambayo anakwenda anajaza viwanja vya mpira na anapokelewa in VVIP, hata hapa ilikuwa the same
Swali langu ni kuwa Yan hao watu wote milioni kwa milions wote wamekuwa fools?
Ndio maana dini ya Kiislam, haikubaliani kabisa na miujiza, Uislamu unaamini miujiza walipewa Mitume tu, akina Yesu na wenzake, sio Mitume hii ya akina Tb Joshua na wenzake..Duh! watu wanapigwa sana kwa kutaka miujiza.