Ukweli siku zote unauma

Ukweli siku zote unauma

astranaut

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
1,276
Reaction score
1,024
Jamani kuna kitu kimenitatiza lakini baada ya kumuuliza muhusia akawa mkali wala hakunipa jibu la kueleweka man alianza kuja juu kujifanya mtakatifu,issue yenyewe n kama ifutavyo;

Kuna mdada tunafanya nae kazi office moja anajifanya mlokoe kunizidi hadi mimi, yeye kila siku jumapili na siku za kawaida nafikili anahudhuria ibada na kazini youtube anapigaga gospel songs only, lakini kinacho nitatiza siku hizi amekua makini kweli kwenye nyimbo za Bongo Fleva zinazopigwa kwenye TV kwa sababu office yetu ina TV ambayo masaa yote ya kazi iko ON.

So, ile miziki inayopigwa Clouds FM anakua makini kweli kusikiliza na kuangalia tofauti na alivyo kuja. Hicho kinanitia maswali sana kwamba labda siku hizi kashabadilika kawa mtu wa viwanja au ni vipi mana kinachonifanya nimfatilie ni kwasababu anatuona sisi wengine ni wadhambi hatuna imani.

Mwenye majibu labda na hili anisaidie kwa sababu nimemuuliza kawa mkali kweli mana ukweli siku zote unauma.
 
hivi kwani wakiristo huwa mnakataza kusikiliza bongo fleva au ni baadhi ya madhehebu tuu, labda ni dhehebu tofauti ......then ndo maisha aliyojichagulia labda
 
Mkuu hiyo nguvu ya kufuatilia mambo ya watu unaitoa wapi?

Mkuu Napenda nikushauri mambo yafuatayo:-

Kwanza, hapa duniani kuwa bize na mambo yako(Usipende kufuatilia mambo ya watu mkuu). Ukiweza hilo jambo utakuwa ni mtu wa aina yako.

Pili, tenda majukumu yako kulingana na mkataba wako wa kazini achana na mambo ya umbea kazini mkuu. Kazini ni sehemu ya kuonesha maarifa yako na ujuzi wako na siyo sehemu ya kuchunguza maisha ya watu.

Ahsante.
 
Mkuu hiyo nguvu ya kufuatilia mambo ya watu unaitoa wapi?

Mkuu Napenda nikushauri mambo yafuatayo:-

Kwanza, hapa duniani kuwa bize na mambo yako(Usipende kufuatilia mambo ya watu mkuu). Ukiweza hilo jambo utakuwa ni mtu wa aina yako.

Pili, tenda majukumu yako kulingana na mkataba wako wa kazini achana na mambo ya umbea kazini mkuu. Kazini ni sehemu ya kuonesha maarifa yako na ujuzi wako na siyo sehemu ya kuchunguza maisha ya watu.

Ahsante.
unaonaje labuda kama kuwafatilia watu ndo ajira yangu na makataba wangu utakua uko hivo n.b kujua a,b,c za mtu flani sio kwamba unamfatilia hata wewe kuna ambao unajua story zao but sio kwamba unawafatilia
 
Mkuu hiyo nguvu ya kufuatilia mambo ya watu unaitoa wapi?

Mkuu Napenda nikushauri mambo yafuatayo:-

Kwanza, hapa duniani kuwa bize na mambo yako(Usipende kufuatilia mambo ya watu mkuu). Ukiweza hilo jambo utakuwa ni mtu wa aina yako.

Pili, tenda majukumu yako kulingana na mkataba wako wa kazini achana na mambo ya umbea kazini mkuu. Kazini ni sehemu ya kuonesha maarifa yako na ujuzi wako na siyo sehemu ya kuchunguza maisha ya watu.

Ahsante.

Huu uzi ulitakiwa ufungwe mara tu baada ya kutolewa kwa huu ushauri.🚶🚶🚶
 
Mkuu yupo humu jf huyo mdada au si umuulize kwa nini amebadilika
 
hivi kwani wakiristo huwa mnakataza kusikiliza bongo fleva au ni baadhi ya madhehebu tuu, labda ni dhehebu tofauti ......then ndo maisha aliyojichagulia labda
Imeandikwa jiweke mbali na vishawishi vyote vinavyopelekea kufanya dhambi,sasa sijui kama bongo fleva ni nyimbo za kumpendeza mungu.Au kuna aya kwenu nyie waislam inaruhusu mambo hayo
 
Imeandikwa jiweke mbali na vishawishi vyote vinavyopelekea kufanya dhambi,sasa sijui kama bongo fleva ni nyimbo za kumpendeza mungu.Au kuna aya kwenu nyie waislam inaruhusu mambo hayo
Kwa hiyo inabidi aache kazi ili asisikie bongo flava? Uzi wa kipuuzi sijawahi ona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo inabidi aache kazi ili asisikie bongo flava? Uzi wa kipuuzi sijawahi ona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri litakua jambo la kushangaza ukimkuta pastor/mchungaji anauza baa eti kwakua ni kazi kama kazi zingine au shehe anachezesha kamari kwa kua anajitaftia kipato
 
Jamani kuna kitu kimenitatiza lakini baada ya kumuuliza muhusia akawa mkali wala hakunipa jibu la kueleweka man alianza kuja juu kujifanya mtakatifu,issue yenyewe n kama ifutavyo;

Kuna mdada tunafanya nae kazi office moja anajifanya mlokoe kunizidi hadi mimi, yeye kila siku jumapili na siku za kawaida nafikili anahudhuria ibada na kazini youtube anapigaga gospel songs only, lakini kinacho nitatiza siku hizi amekua makini kweli kwenye nyimbo za Bongo Fleva zinazopigwa kwenye TV kwa sababu office yetu ina TV ambayo masaa yote ya kazi iko ON.

So, ile miziki inayopigwa Clouds FM anakua makini kweli kusikiliza na kuangalia tofauti na alivyo kuja. Hicho kinanitia maswali sana kwamba labda siku hizi kashabadilika kawa mtu wa viwanja au ni vipi mana kinachonifanya nimfatilie ni kwasababu anatuona sisi wengine ni wadhambi hatuna imani.

Mwenye majibu labda na hili anisaidie kwa sababu nimemuuliza kawa mkali kweli mana ukweli siku zote unauma.
Sio kwamba na wewe uko makini kumfuatilia
 
Mkuu hiyo nguvu ya kufuatilia mambo ya watu unaitoa wapi?

Mkuu Napenda nikushauri mambo yafuatayo:-

Kwanza, hapa duniani kuwa bize na mambo yako(Usipende kufuatilia mambo ya watu mkuu). Ukiweza hilo jambo utakuwa ni mtu wa aina yako.

Pili, tenda majukumu yako kulingana na mkataba wako wa kazini achana na mambo ya umbea kazini mkuu. Kazini ni sehemu ya kuonesha maarifa yako na ujuzi wako na siyo sehemu ya kuchunguza maisha ya watu.

Ahsante.
👏👏👏👏 nilitaka ni comment kama ww ila saf sana maofisin sasa niumbea tu
 
Jamani kuna kitu kimenitatiza lakini baada ya kumuuliza muhusia akawa mkali wala hakunipa jibu la kueleweka man alianza kuja juu kujifanya mtakatifu,issue yenyewe n kama ifutavyo;

Kuna mdada tunafanya nae kazi office moja anajifanya mlokoe kunizidi hadi mimi, yeye kila siku jumapili na siku za kawaida nafikili anahudhuria ibada na kazini youtube anapigaga gospel songs only, lakini kinacho nitatiza siku hizi amekua makini kweli kwenye nyimbo za Bongo Fleva zinazopigwa kwenye TV kwa sababu office yetu ina TV ambayo masaa yote ya kazi iko ON.

So, ile miziki inayopigwa Clouds FM anakua makini kweli kusikiliza na kuangalia tofauti na alivyo kuja. Hicho kinanitia maswali sana kwamba labda siku hizi kashabadilika kawa mtu wa viwanja au ni vipi mana kinachonifanya nimfatilie ni kwasababu anatuona sisi wengine ni wadhambi hatuna imani.

Mwenye majibu labda na hili anisaidie kwa sababu nimemuuliza kawa mkali kweli mana ukweli siku zote unauma.
Huyo ameona akiendelea na msimamo wake maji yanaweza kuzidi unga. Ok hembu karibu kurusha vocal kidizaini
 
Yaani wewe na Corona hii uko busy unafuatilia evolution ya coaligue wako? Unajua hobbies za mpenzio? Unajua anapenda chakulana rangi gani?

Sitashangaa Kama upo solo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom