hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,365
- 80,266
hahaaa sasa.. hapo Mkuu zitto si waona kabisa kuwa jamaa " wameongeza " chumvi Na matango pori"" ukweli nikwamba _ huyo Alex alipigwa mnooo ""..wazungu wengi " niwaongo " mnooo ". niwao ndio walioeneza"uongo " kuwa mababu zetu" walikuwa " wanaavaa majani" wakati Dr.Livingston "alipokuja Africa mashariki alikuta watu" wameendelea monopoly kiuchumi " kule "" KILWA