What abt Mwanaume na Mwanamke? Huu upo mtoa mada?
^^
Karibu kwenye ulimwengu wa ukweli,,achana na Plato/Socrates/Aristotle ambao hata kwenye silabasi za wagriki hawatumiki tena.
..
Nina marafiki wa kike zaidi ya sita,,wananiheshimu kama kaka nawaheshimu kama dada. Najua mipaka yao wanajua mipaka yangu..Mwaka wa 7 leo mawasiliano yapo.
^^
hutaki unaacha.
Ni miaka sasa na haijawahi kutushinda. Hatuko kwenye urafiki kujiridhisha kihisia.Ukweli ni kwamba kuna kpnd urafk utawashnda na mnaweza kujikuta cku 1 mkafanya mapenz hata kwa bahati mbaya chunga sana
Ni miaka sasa na haijawahi kutushinda. Hatuko kwenye urafiki kujiridhisha kihisia.
Maisha yanaendelea. Tunaheshimiana. Usilazimishe kitu ambacho unafikiri wewe kinakushinda na wenzio wanashindwa. Tumeweza na tunasonga mbele.
urafiki kati ya msichana na mvulana unaweza ukawepo au usiwepo kutokana na mipaka mliyojiwekea na jinsi mnavyochukulia.malengo ya urafiki wenu na ukalibu mlionao..mkiheshimiana kama marafik hakuna kibaya kitakacho tokea ila mkiruhusu hisia zingine ziwatawale upepo utabadilika.ni mtazamo tu......