Tengelimale
Member
- May 3, 2016
- 30
- 11
ngwananzengo i second you umesema ukweli. it is the culture ilotulea. we look the way we are tunaakisi culture
swali la kindezi kabisa hili.hivi kila mzungu anaongea english?
Ujue kuna kitu kimoja,Ni kweli mkuu kukubaliana na hali ndio kitu cha msingi lkn kuikubali sasa ndipo kazi ilipo.
Ujue kuna kitu kimoja,
Mfano kama mimi, ngoja nijitolee mfano mimi mwenyewe binafsi, UKIMWI unachoniogopesha ni ule muda utakaokuwa nao mpaka kufikia kuuguzwa, ile hali ndio inayoniogopesha lakini si kufa, kufa kupo na hakuepukiki.
Yale mateso ndio yanayoniogopesha, na na kama unavyojua sie wengine, hatuwezi kujifupisha maisha (kujiua) eti kwa vile nimeyakanyaga miwaya, hapana, nitakubali matokeo mpaka siku yangu ya kuondoka itakapofika.
Adhabu ya kuugua ndio tatizo kwa upande wangu na ndicho kinachoniogopesha
Hapo sasa nimekuelewa vizuri mno.Ukiwa unacheki afya yako wala hutafikia huko, wakigundua tu kuwa unamaambukizi wataanza kukupa ushauri nasaha vyakula vya kula pia watamonitor CD4, ukitumia ARV utaishi kama tu hujapata ugonjwa. Mbona wenye magonjwa ya moyo na kisukari wanakunywa dawa kila siku?
Wasiopenda na kujali suala la kutumia condom ni wanawake zaidiHata hivyo kaka zangu wengi hawapendi mipira. Ndiyo maana nimeona niliseme hili hapa.
Nadhani hujafuatilia vizuri nani hapendi mpiraHata hivyo kaka zangu wengi hawapendi mipira. Ndiyo maana nimeona niliseme hili hapa.
Ugonjwa umekaa pabaya kweli daaaah!Kitu ambacho ninashindwa kuelewa kwanini huu ugonjwa ambao umegundulika karibu miaka 30 iliyopita lakini bado ni tishio na wala sio air borne wala waterbone diseases. Kuna uzembe wa uelewa, hatutaki kuelewa au tumeamua kukaidi?