Ukweli na uwazi kwenye mapenzi

Ukweli na uwazi kwenye mapenzi

Yaa ninaelewa kuwa moja ya madhara ya pombe ni kutofanya maamuzi ya busara na kurisk maisha kwa maambukizi ya magonjwa pamoja na kudhoofisha ini. Pia wale wanaotumia ARV's pombe inachewesha upandaji wa CD4 pamoja na kuwa wagonjwa hawakazwi kunywa lakini wanywe in moderation. Inaweza kuwa mara mbili au tatu kwa wiki.
Tuzungumzie magonjwa yanayonyakua uhai wa mtu ambae hajajitakia kama kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake maana hapa naona pana maumivu zaidi ila Ukimwi umeshapuuzwa.
 
Tuzungumzie magonjwa yanayonyakua uhai wa mtu ambae hajajitakia kama kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake maana hapa naona pana maumivu zaidi ila Ukimwi umeshapuuzwa.
Cancer haitabiriki inakuja tu, na ukimwi unaweza kuwa sababu ya cancer, wakati CD4 zimepungua mwilini gonjwa lolote linaweza kukupata. Lakini ukimwi huupati kwenye maji ya kunywa wala sio kwa kuvuta hewa kwanini bado watu hawajaelewa hatari kwa zaidi ya miaka 30.
 
Ukikumbuka kipindi cha nyuma kidogo, Ukimwi ulikuwa unatisha kuliko IS lakini baada ya watu kuzoea na kujua kuna ARV's, watu hata hawauwazi. Hawa dada poa wana bei ya kavukavu na bei ya condom, wanajua vizuri kuhusu ukimwi lakini ARV's zipo mtu anaweza ishi miaka 15 mpaka 20 bila hofu.
 
Ukikumbuka kipindi cha nyuma kidogo, Ukimwi ulikuwa unatisha kuliko IS lakini baada ya watu kuzoea na kujua kuna ARV's, watu hata hawauwazi. Hawa dada poa wana bei ya kavukavu na bei ya condom, wanajua vizuri kuhusu ukimwi lakini ARV's zipo mtu anaweza ishi miaka 15 mpaka 20 bila hofu.
Dada poa hawafanyi kwa kupenda ni circumstances zinawaforce kufanya vile, wangekuwa na njia nyingine za kupata rizki sidhani kama wangejiuza kwa ngono, ni dalili yakukata tamaa kimaisha, ni kama wabeba unga wanajua madhara ya kukamatwa lakini bado wanabeba. Na uchumi wetu haujafikia kiwango cha kuwakusanya dada poa kuwapa elimu na mafunzo itakayopelekea kupata ajira.
 
harufu ya zinaa...
hamjaoana mnajigijigi kutafuta nini, mtu uambukizwe umlaumu nani..!!
kujua health status ya mmeo au mkeo au mchumba ndio kitu muhimu na inatosha.
huko kwingine ukigusa ukinata shauri zako.
 
harufu ya zinaa...
hamjaoana mnajigijigi kutafuta nini, mtu uambukizwe umlaumu nani..!!
kujua health status ya mmeo au mkeo au mchumba ndio kitu muhimu na inatosha.
huko kwingine ukigusa ukinata shauri zako.

Hata kama unajua huna future nae basi jikinge na umkinge.
 
Dada poa hawafanyi kwa kupenda ni circumstances zinawaforce kufanya vile, wangekuwa na njia nyingine za kupata rizki sidhani kama wangejiuza kwa ngono, ni dalili yakukata tamaa kimaisha, ni kama wabeba unga wanajua madhara ya kukamatwa lakini bado wanabeba. Na uchumi wetu haujafikia kiwango cha kuwakusanya dada poa kuwapa elimu na mafunzo itakayopelekea kupata ajira.
Naweza kusema wapo wanaofanya kwa kupenda coz utakuta mtu mwala wa 5 kazi ni hiyohiyo inamaana miaka yoote hiyo amekosa wazo la kutafuta plan B?
 
Hata kama unajua huna future nae basi jikinge na umkinge.
na wewe kwa nini ukubali?
mtu si mchumba wako umvulie nguo ili iweje?
na kama mnamahusiano kupima ni moja ya vitu muhimu.
msifanye vitu kwa kubahatisha maisha hayana part 2
 
tanzania.png
 
Waafrica HIV/UKIMWI tunafanya ni siri. Ukosefu wa kinga mwilini unachangia muamko wa magonjwa mengi kwenye mwili, kuanzia cancer, TB, magonjwa ya akili ect. Lakini ni kwa Afrika ni kumvunjia heshima mtu kwa kusema anaumwa cancer lakini pia aligundulika na HIV.

Tunapokuja kwenye swala la mapenzi. Mzungu ni mwepesi sana kusema by the way I can not have unsafe sex since I am HIV+. Mwanaume wa kiafrica atajua kabisa status yake lakini hasemi akwambie kwani wewe dada yake?

Tubadilike jamani.
Yamekukuta au ni utafiti?Maana tafiti za siku hizi ni shida tupu kila mtu mtafiti.
 
Hata wewe dada unaye kubali kupigwa bila kinga na mtu ambaye hujamjua hata historia yake vizur wewe ndiyo shida...Hali ya afya ni siri ya mtu tena ukichukulia umepata mtu kwa kumtamani tu na unataka 1 night stand kwanini umweleze siri ya afya yako..Ngono salama ni lazima sana kwa mtu usiye mjua vizur na kama mko na serious relatn muende mkapime kwa pamoja mjue status zenu...
Jibu murua kabisa mkuu.
 
Kitu ambacho ninashindwa kuelewa kwanini huu ugonjwa ambao umegundulika karibu miaka 30 iliyopita lakini bado ni tishio na wala sio air borne wala waterbone diseases. Kuna uzembe wa uelewa, hatutaki kuelewa au tumeamua kukaidi?
Tumeamua kukaidi.

Tatizo Ugonjwa wenyewe umekaa pabaya sana, hauepukiki.

Na matamaniao ya mwili ni magumu sana kujizuia, ikiwa kwa yule Mwanadamu aliekamilika (ambae hana matatizo ya kimaumbile), iwe Mwanamke au Mwanamme
 
We acha tu yakikukuta utaitafuta hii sred
UKIMWI ujue unaogopesha sana, hasa utakapomwona muathirika amezidiwa kiafya kiasi kwamba amekonda na yuko kwenye zile hatua za mwisho.

Mimi mwenyewe nauogopa sana ugonjwa wa UKIMWI, ila nina uhakika kama itatokea nikaupata nitajitahidi sana kukubali matokeo, sababu hakuna jinsi ya kuweza kujiumiza kwa mawazo kwa jambo ambalo limeshanikuta tayari
 
Ni kweli mkuu kukubaliana na hali ndio kitu cha msingi lkn kuikubali sasa ndipo kazi ilipo.
UKIMWI ujue unaogopesha sana, hasa utakapomwona muathirika amezidiwa kiafya kiasi kwamba amekonda na yuko kwenye zile hatua za mwisho.

Mimi mwenyewe nauogopa sana ugonjwa wa UKIMWI, ila nina uhakika kama itatokea nikaupata nitajitahidi sana kukubali matokeo, sababu hakuna jinsi ya kuweza kujiumiza kwa mawazo kwa jambo ambalo limeshanikuta tayari
 
Waafrica HIV/UKIMWI tunafanya ni siri. Ukosefu wa kinga mwilini unachangia muamko wa magonjwa mengi kwenye mwili, kuanzia cancer, TB, magonjwa ya akili ect. Lakini ni kwa Afrika ni kumvunjia heshima mtu kwa kusema anaumwa cancer lakini pia aligundulika na HIV.

Tunapokuja kwenye swala la mapenzi. Mzungu ni mwepesi sana kusema by the way I can not have unsafe sex since I am HIV+. Mwanaume wa kiafrica atajua kabisa status yake lakini hasemi akwambie kwani wewe dada yake?

Tubadilike jamani.
Umejuaje? kama hayo yanatendeka? au wewe ndio unataka tufe wengi?
 
Waafrica HIV/UKIMWI tunafanya ni siri. Ukosefu wa kinga mwilini unachangia muamko wa magonjwa mengi kwenye mwili, kuanzia cancer, TB, magonjwa ya akili ect. Lakini ni kwa Afrika ni kumvunjia heshima mtu kwa kusema anaumwa cancer lakini pia aligundulika na HIV.

Tunapokuja kwenye swala la mapenzi. Mzungu ni mwepesi sana kusema by the way I can not have unsafe sex since I am HIV+. Mwanaume wa kiafrica atajua kabisa status yake lakini hasemi akwambie kwani wewe dada yake?

Tubadilike jamani.
Au mwanamke wa Kiafrica hawezi kukwambia ana NGOMA au akwambie uvae KINGA kwani wewe KAKA YAKE?
 
Au mwanamke wa Kiafrica hawezi kukwambia ana NGOMA au akwambie uvae KINGA kwani wewe KAKA YAKE?
Kumbe bado uko hewani basi TUTONGOZANE we mrembo maana saa hizi watu wamelala,kwa hiyo tufanye internet sex au unaonaje?mimi nakutamani bhanaaa.
 
Waafrica HIV/UKIMWI tunafanya ni siri. Ukosefu wa kinga mwilini unachangia muamko wa magonjwa mengi kwenye mwili, kuanzia cancer, TB, magonjwa ya akili ect. Lakini ni kwa Afrika ni kumvunjia heshima mtu kwa kusema anaumwa cancer lakini pia aligundulika na HIV.

Tunapokuja kwenye swala la mapenzi. Mzungu ni mwepesi sana kusema by the way I can not have unsafe sex since I am HIV+. Mwanaume wa kiafrica atajua kabisa status yake lakini hasemi akwambie kwani wewe dada yake?

Tubadilike jamani.
kumbe bado uko hewani? basi tutongozane saaana coz watu woote wamelala kwa hiyo tufanye cyber sex au vipi? nataka nikufanye uwe wet au unaonaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom