Rashda Zunde
Senior Member
- May 28, 2022
- 199
- 231
Naona comments everywhere watu wanalalamika kwanini Rihanna hajaiona Tanzania kuleta vipodozi vyake vya Fenty, wengine wanasema kwanini ameiacha Tanzania wakati Babaake alikutana Rais Samia kwenye Royal Tour.
Mnataka awaletee Tanzania kuna soko? Jiulize we unayelalamika ushawahi kuagiza hata product yake moja ya Fenty hata ya $100 tu? Yeye anajua Africa kuna nchi 54 ila amechagua kuanza na 8 za kuzisogezea huduma kwakuwa ameona kuna soko! Waafrika wengi wananunua kutokea huko. Sisi mafuta ya kawaida tu tunalalamika mpaka tunataka kulia, hayo Mafuta ya Rihanna ya kupaka mwilini yanayouzwa kikopo laki 2, laki 3, laki 5 akiyaleta atampata nani kwa Tanzania hii nayoijua mimi? Mnataka alete yadode baada ya miezi 3 atangaze kufunga biashara Tanzania?
4. Kama kweli tunataka product za Fenty zije tuanze kununua kwa wingi kutoka Marekani ili aone Tanzania kuna wateja wengi asogeze huduma. Otherways tuendelee tu na mafuta ya nazi na baby care zetu.
Mambo ya Royal Tour subirini akishajifungua atatembelea Serengeti & Zanzibar, kuja kwake kutaitangaza Tanzania, ila sio alete biashara yake ije idode haiwezekani! Mjielewe Watanzania sio kukurupa kurusha lawama.
Mnataka awaletee Tanzania kuna soko? Jiulize we unayelalamika ushawahi kuagiza hata product yake moja ya Fenty hata ya $100 tu? Yeye anajua Africa kuna nchi 54 ila amechagua kuanza na 8 za kuzisogezea huduma kwakuwa ameona kuna soko! Waafrika wengi wananunua kutokea huko. Sisi mafuta ya kawaida tu tunalalamika mpaka tunataka kulia, hayo Mafuta ya Rihanna ya kupaka mwilini yanayouzwa kikopo laki 2, laki 3, laki 5 akiyaleta atampata nani kwa Tanzania hii nayoijua mimi? Mnataka alete yadode baada ya miezi 3 atangaze kufunga biashara Tanzania?
4. Kama kweli tunataka product za Fenty zije tuanze kununua kwa wingi kutoka Marekani ili aone Tanzania kuna wateja wengi asogeze huduma. Otherways tuendelee tu na mafuta ya nazi na baby care zetu.
Mambo ya Royal Tour subirini akishajifungua atatembelea Serengeti & Zanzibar, kuja kwake kutaitangaza Tanzania, ila sio alete biashara yake ije idode haiwezekani! Mjielewe Watanzania sio kukurupa kurusha lawama.